shadrackAmri
JF-Expert Member
- Oct 27, 2023
- 275
- 4,064
utajua mwenyewe mjinga wewe.
Naona hujaelewa hoja yangu na ndio maana umekimbilia kunishambulia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utajua mwenyewe mjinga wewe.
Naona hujaelewa hoja yangu na ndio maana umekimbilia kunishambulia tu
Sio kweli hizo ndio bando zako. Kwanza wewe ulitakiwa kuwa kwenye free package ya internet . Kumbe hata hawakupi free package , yaani vijana watanzania ni wahovyo sana. Abdul anaishi Dubai kwa kodi zetu kumbe wewe pambio za hapa JF unajilipia bundle , kijana kama wewe ni HASARA kwenye taifa na mwisho wa siku mnaacha vizaz masikini kwenye nchi yenye mfumo mbovu, huduma za elim mbovu, huduma za miundo mbinu mbovu, bima ya afya mbovu na watoto zao wanaenda kupata elimu nje, wako wanaenda hapo Kayumba. Watoto wako watakulaani wakija kuona post zako , yaani uongo unaupaka perfume.Nimeeleza wazi kuwa sijiungagi kifurushi cha jero bali nilifanya hivyo katika kutaka kujiridhisha na kutafuta majibu ya sababu ya ulaji na uishaiji wa kasi wa mb ambao haukuwepo swali sasa wewe unaweza vipi kununua bando la bei kubwa wakati unaona kuna hali isiyo ya kawaida imetokea?
Naunga mkono hoja hata Mimi nilizani hivyo huyu jamaa kumbe ni bando za buku buku😁😂Mnavyojitowaga akili nikadhani internet mnatumia unlimited kumbe bado unateseka na bundle la buku?
Kweli kuna watu hamnazo, ccm ina wenyewe.
Soma uelewe vyema.mimi sininuagi bando la jero bali nilinunua katika kufanya uchunguzi baada ya kuona mabadiliko ya ghafla ya uishaiji wa bando.Unanunuaje bundle la jero...are you serious na maisha???
Uwezo tunatofautiana! Na ndio maana kuna bundle la 350 na hadi la 200k kila mtu anunue kwa uwezo wake.Unanunuaje bundle la jero...are you serious na maisha???
Naona unamtetea mpenzi wakoUwezo tunatofautiana! Na ndio maana kuna bundle hadi la 350 na hadi la 200k kila mtu anunue kwa uwezo wake.
Ubarikiwe sana na Munguutajua mwenyewe mjinga wewe
Lazizi wangu una akili nyingi sana kuwapita wanafalsafa na wavumbuzi wa zamani.Uwezo tunatofautiana! Na ndio maana kuna bundle hadi la 350 na hadi la 200k kila mtu anunue kwa uwezo wake.
We mwashambwa lazima unyooke kwanza wametega kwako tu usiwe online. Any way hili swala la mbs ni changamoto mtandao wa voda wamezidi tutawakimbia sio mda aiseeNdugu zangu Watanzania,
Mimi ni mtumiaji na mteja wa miaka mingi wa mtandao wa voda ,lakini Haijawahi kutokea na sijawahi kushuhudia hali hii katika simu yangu ya ulaji wa mb utafikiri kuna jini limepiga kambi kula mb zangu. Hali hii imejitokeza tangia jana jioni ambapo nilikuwa na mb mia mbili na 34 lakini ghafla nikashangaa naletewa sms kuwa zimekwisha.
Nilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.
Lakini cha kushangaza baada kama tena ya dakika 2 hivi nikaletewa sms kuwa kifurushi chako cha JKU kimekwisha.Nilishangaa sana na kusikitika sana hali hiyo.
Nimepiga sana huduma kwa wateja bila kupata msaada wa aina yoyote ile,kwa kuwa sikupata nafasi ya kuongea na wahudumu wa voda zaidi ya kupewa maelekezo ya kujihudumia mwenyewe.
Sasa muda huu tena nimejiunga bando la mia tano na kupewa mb 246 hivi lakini cha kushangaza nimeingia tu JF na kukaa kama dakika mbili bila kufungua video au kuandika chochote wala kusoma habari hata moja zaidi ya kuangalia nyuzi tu.nikasema ngoja nikaangalie salio,nikakuta tena salio eti ni mb 110 .
Wakati hali hiyo haijawahi kutokea. Sasa najuwa humu jukwaani wapo voda nataka kujuwa shida ni nini?
Mimi nilidhan yupo kwenye system kumbe ni mamluki, hata kumlipia 150K unlimited bundle hawawezi kutwa Mam this Mama that with misleading post .Mwambie huyo chawa.....
Sasa hakuna bundle linapotea bila matumiziSoma uelewe vyema.mimi sininuagi bando la jero bali nilinunua katika kufanya uchunguzi baada ya kuona mabadiliko ya ghafla ya uishaiji wa bando.
wote mumekutana vichwa maji.Lazizi wangu una akili nyingi sana kuwapita wanafalsafa na wavumbuzi wa zamani.
🤣🤣 we jamaa ni HASARA KWA TAIFASoma uelewe vyema.mimi sininuagi bando la jero bali nilinunua katika kufanya uchunguzi baada ya kuona mabadiliko ya ghafla ya uishaiji wa bando.
Wote tutaongea lugha Moja tu,chawa mkubwa wewe na badoNdugu zangu Watanzania,
Mimi ni mtumiaji na mteja wa miaka mingi wa mtandao wa voda ,lakini Haijawahi kutokea na sijawahi kushuhudia hali hii katika simu yangu ya ulaji wa mb utafikiri kuna jini limepiga kambi kula mb zangu. Hali hii imejitokeza tangia jana jioni ambapo nilikuwa na mb mia mbili na 34 lakini ghafla nikashangaa naletewa sms kuwa zimekwisha.
Nilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.
Lakini cha kushangaza baada kama tena ya dakika 2 hivi nikaletewa sms kuwa kifurushi chako cha JKU kimekwisha.Nilishangaa sana na kusikitika sana hali hiyo.
Nimepiga sana huduma kwa wateja bila kupata msaada wa aina yoyote ile,kwa kuwa sikupata nafasi ya kuongea na wahudumu wa voda zaidi ya kupewa maelekezo ya kujihudumia mwenyewe.
Sasa muda huu tena nimejiunga bando la mia tano na kupewa mb 246 hivi lakini cha kushangaza nimeingia tu JF na kukaa kama dakika mbili bila kufungua video au kuandika chochote wala kusoma habari hata moja zaidi ya kuangalia nyuzi tu.nikasema ngoja nikaangalie salio,nikakuta tena salio eti ni mb 110 .
Wakati hali hiyo haijawahi kutokea. Sasa najuwa humu jukwaani wapo voda nataka kujuwa shida ni nini?
Naomba usimguse kabisa ephen wanguwote mumekutana vichwa maji.
Sasa huyo kibonge amewapitaje wavumbuzi wazamani wakati bado hatakujitegemea hawezi
Hilo ni limaskini halina mbele wala nyumaKwa kazi kubwa anayofanya humu ya kumpamba,kumsifia mama,walitakiwa wamfikirie
Maana hata hao wakina mwijaku,Steve nyerere wanalipwa
Ova
nilitaka nimfanye hawarawangu SEMA ukibonge wake nimemkataaNaomba usimguse kabisa ephen wangu
Unampa maunjanja aendelee kutukera au sio 😁Sajili line ya halotel buku 2 GB 2.5 wiki itakusaidia