Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #41
Nasema kuwa siwekagi bando la jero bali niliweka kuangalia hali hiyo ya mabadiliko ya ghafla.sasa wewe umeona hali isiyo ya kawaida unaanzaje kujiunga bando la bei kubwa kabla ya kupata ufumbuzi na majibu?Tafuta hela jomba karne hii bado unaongelea salio la jero(500).
Hii ndio ilibidi iwe kichwa cha Mada, na hilo jini inabidi upate muafaka haraka sana kwa Shekhe au Shekhia au Ostadh alie karibu nawe akwambie ni jini gani Ila kwa haraka haraka atakua ni jini mkatakambakuna jini limepiga kambi kula mb zangu
Mimi sijaanza kutumia voda jana wala juzi.ni mtumiaji wa muda mrefu sanaUnajua simu unayotumia app ngapi zina transmitt na ku receive data?
Unapoweka bundle tambua ni zaidi ya app moja zikula bundle si jf peke yake. Funga hizo app or zitoe kabisa
Halaf kwa miaka hii bundle la 500 ni kidogo sana, ccm hawawezeshi na kazi unayoifanya?
Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.Ningekuwa najiunga bando la jero nisingekuwa nakuwepo humu jukwaani muda wote .lakini nadunda humu jukwaani kwa kuwa naweka bando la kutosha kuniwezesha kuwepo humu mwaka hadi mwaka na kujaa kama pishi la mchele.
Si ulifurahia na kugaragara Kwa furaha mpaka machozi yalikutoka mama alipokua anawateua kina nape sasa endelea kugaragara kwenye Mb za vodaNilipigwa na mshangao mkubwa sana.baadaye nikasema ngoja nijaribu niweke mb za mia tano.nikaweka nikapewa mb 246 cha kushangaza nikaingia jamii forum na kukaa kama dakika tatu au nne hivi bila kufungua video ya aina yoyote ile.lakini nikaletewa sms kuwa zimebaki mb 61.
Nimeeleza wazi kuwa sijiungagi kifurushi cha jero bali nilifanya hivyo katika kutaka kujiridhisha na kutafuta majibu ya sababu ya ulaji na uishaiji wa kasi wa mb ambao haukuwepo swali sasa wewe unaweza vipi kununua bando la bei kubwa wakati unaona kuna hali isiyo ya kawaida imetokea?Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.
Kwa mbwembwe zako ulitakiwa hata home kwako uwe umefunga Zuku unlimited. Unakula wifi free hata ukiwa chooni, sio kuchungulia bando imefika ngapi
Hapo unakuta unaishi Mapinga au Buza kwa Mpalange….. MAMA ANAweza Mama anatosha Lucas Mwashambwa
Mwambie huyo chawa.....Wewe masikini bana , na nakushauri achana na CCM utapotea. Nenda shule jiendeleze kielimu ufike mbali. Hakuna atakae kuteua CCM utatumika kuimba Mama anaweza, umasikini utakuangamiza Kama hadi sasa unanunua bando za jero. Vodacom unlimited si 150K tu kwa mwezi, unatoa wapi nguvu ya kuandika mama anaweza mama anatimiza kama hata 150K kwa mwezi ni tatizo ? Mambo ya aibu sana.
Kwa mbwembwe zako ulitakiwa hata home kwako uwe umefunga Zuku unlimited. Unakula wifi free hata ukiwa chooni, sio kuchungulia bando imefika ngapi
Hapo unakuta unaishi Mapinga au Buza kwa Mpalange….. MAMA ANAweza Mama anatosha Lucas Mwashambwa
Hongera kama unatumia unlimited bundle, mimi na Lucas wangu acha tuendelee kujitafuta🤸Yaani Mkuu Mimi nilizani unatumia unlimited kumbe upo limited 😂😁😁😁 huko skuizi kwenye kupimiwa tushatoka now tupo unlimited kwa mwezi 70 k tu kijana wa Ccm Cc ephen_
Hizo laini za halotel nasajili mimiSajili line ya halotel buku 2 GB 2.5 wiki itakusaidia
Huyo ni kijana asiyekuwa na majukumu ameamua kujifurahisha mtandaoniMaboss zako wanashindwa kukununulia bando unlimited kweli ccm inawenyewe
Mimi ninayo tayari, AsanteHizo laini za halotel nasajili mimi
Kama utahitaji njoo PM
Watabubujikwa na machozi sana watakapoona nimefanya wepesi na unaanza kusomeka kama Platinum member.Hongera kama unatumia unlimited bundle, mimi na Lucas wangu acha tuendelee kujitafuta🤸
Mkuu sasa kama hujawahi shuhudia hiyo hali si ungewapigia kwenye namba yao sijui 100 hiyo uwaulize tatizo,sasa kuleta humu unakuwa na maana nyingine.Mimi ni mtumiaji mzuri na wa muda wote wa voda lakini sijawahi kushuhudia hali hii hata siku moja.
.wee kiazi kweli yani🤣🤣🤣🤣kupiga domo kote kule kumbe hela yabando nitatizo.
Sasa mb 200 unataka uzitumie masaa mangapi? labda uwashe data tuu usifanye chochote ndio zitakaa kidogo nyau wee
malaoo mama anatosha nyenyenyenyeeee kumbe bando lakupima kenge wewe katafute vibarua ufanye achana nahio kazibure uliojipa
utakufa masikini mjinga wewe kelele kibao mfukoni hamnakitu
voda huyuchizi akiweka bando likateni hapohapo hadi akili imkae sawa