VODACOM naomba mnisaidie kwanini Mb zangu zinakwisha Haraka pasipo matumizi utafikiri kuna jini linakula?

Sio kweli hizo ndio bando zako. Kwanza wewe ulitakiwa kuwa kwenye free package ya internet . Kumbe hata hawakupi free package , yaani vijana watanzania ni wahovyo sana. Abdul anaishi Dubai kwa kodi zetu kumbe wewe pambio za hapa JF unajilipia bundle , kijana kama wewe ni HASARA kwenye taifa na mwisho wa siku mnaacha vizaz masikini kwenye nchi yenye mfumo mbovu, huduma za elim mbovu, huduma za miundo mbinu mbovu, bima ya afya mbovu na watoto zao wanaenda kupata elimu nje, wako wanaenda hapo Kayumba. Watoto wako watakulaani wakija kuona post zako , yaani uongo unaupaka perfume.

Lucas mwashambwa kumbe haupo hata kwenye payrol ya vocha dah . CCM ina elites , nyie subirini kofia na fulan za oct 25

Vijana wa shisha
 
Yaaani kelele zote na pambio zako unakuja kulia lia Mb 234 wakati huo ume jiunga kifurushi cha tsh 500/= (Mb 246)
Mzee iko chama unacho kipambania kila siku umu hakithamin juhudi zako hata bundle la tsh 15,000/= mwezi wameshindwa kukuungia??
 
We mwashambwa lazima unyooke kwanza wametega kwako tu usiwe online. Any way hili swala la mbs ni changamoto mtandao wa voda wamezidi tutawakimbia sio mda aisee
 
Soma uelewe vyema.mimi sininuagi bando la jero bali nilinunua katika kufanya uchunguzi baada ya kuona mabadiliko ya ghafla ya uishaiji wa bando.
Sasa hakuna bundle linapotea bila matumizi
1. Speed ya internet inachangia sana kumaliza bundle haraka..the higher the speed the more consumption of bundle...ukiweza shusha mnara wa internet usome 3g au 4g kama unasoma 5g

2. Weka off auto update ya apps zako...endapo zinajiupdate lazima zinakula mb za kutosha...hapa pia unaweza weka off auto download ya pics na video kwenye whatsapp na apps nyingine

3. Cheki kama Hotspot ipo on...means unaweza ukawa unatumia bundle lako na kifaa kingine kwa kujua au kutokujua

4 kama kuna apps hutumii weka notification off..pia notifications kama za YouTube na apps nyingine weka off kama hauzitumii kwa wakati huo maana zinapokuletea notifications zinatumia bundle lako

Mengine wadau watakuongezea
 
Wote tutaongea lugha Moja tu,chawa mkubwa wewe na bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…