Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 7,090
- 13,511
Yanga moja bestHahahaaa. Hakika best yaani hii ndio raha ya Utani.
Yaani mtani wangu kashikwa hata hakoowi. Hivi best na wewe wa Msimbazi eee. [emoji12] [emoji12]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga moja bestHahahaaa. Hakika best yaani hii ndio raha ya Utani.
Yaani mtani wangu kashikwa hata hakoowi. Hivi best na wewe wa Msimbazi eee. [emoji12] [emoji12]
Ya 79Dakika ya ngapi
wasubirie ngao ya jamii lile kombe lilotengenezwa kwa mbao ndo level zaoMIAKA 6 SASA BILA KOMBE, SIMBA JIKE ANATIA HURUMA
safi sanaYa 79
Hahahaaa. Bila kuwa makini wataendelea kuliona tu magazetini. Teh.hahaha kweli mkuu wanahasira kombe wanalionaga kwenye magazeti tu
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] safi sana aisee best.Yanga moja best
Hahahaa. Na huwa wanashangilia hao.wasubirie ngao ya jamii lile kombe lilotengenezwa kwa mbao ndo level zao
Sawa Dada nitarudi uniulize vizuriNaongea na wewe Dada [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu emmyta leo naona unafuraha hadi bhasi.....Joseverest, zeshchriss na radika njooni huku leo mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Mtani analo.
Maswali maswali sio mda wake huu alikuwa wapi mda wote[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Utakuwa wa upande ule wewe
Wakifanya hivyo leo nitaoga konyagiUnited wanyama sana aisee,
Sasa united ongezeni kamoja basi tuwe na sauti mjini.