Vodacom Premier League 'VPL' KMC FC dhidi ya Simba SC, Kazi Ipo Uwanja wa Uhuru

sio kwa yanga hii wasioweza kupiga hata pasi 3

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa siku mbaya saaana hii,by then Darasa la Kwanza!
 
Napnga kikosi cha kwanza cha kuiua Yanga.
1. Any, Manula or Beno.
2. Kapombe
3. Shabalala
4. Erasto
5. Wawa
6. Le Garson Fraga
7. Kanda
8. Aladdin Shiboub
9. Medi
10. Chama
11. Kahata
Kuna masahihisho hapa ?
Simba 4 Yanga yangu 0


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu huyu alikuwa John Makele,huo mwaka nilikuwa LY.
 
Akili za Yanga ndio zinaamini hivi,Sisi Simba tunaamini inawezekana

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba bado ipo hatua 1000 nyuma kushindana na akina TP MAZEMBE.

Kama kikosi wanapanga viongozi, kocha msaidizi anachaguliwa na uongozi.

Kiongozi akimpenda mchezaji anamsajili na hana manufaa kwa timu. Ushahidi ni Usajili wa Ajibu, Kennedy, Wilker, Tairone, Salamba, Kaheza n.k.

Matumizi ya klabu yanazidi mapato kwa kiwango kikubwa, na ikitegemea mtu atoe pesa yake mfukoni.

Wawekezaji wanaokuja Simba na Yanga wapo ili kukuza biashara zao binafsi.
Mfano: Mo Dewji, kawavuta UHL, anatangaza soda, sabuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo Tairon mtoe,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata nyie kikosi kinapangika,sisi huku ni pasua kichwa balaa mana huelewi uanzishe nani umwache nani, wote mafundi!!! Namuonea huruma mkwasa kwa kizunguzungu atachopata ktk upangaji Wa first 11
 
Bora hata nyie kikosi kinapangika,sisi huku ni pasua kichwa balaa mana huelewi uanzishe nani umwache nani, wote mafundi!!! Namuonea huruma mkwasa kwa kizunguzungu atachopata ktk upangaji Wa first 11
Kama mna mafundi wengi hadi mnashindwa kupanga kikosi basi nina uhakika mwakani mtafika mbali kimataifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…