Mbobo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 1,392
- 1,818
safu ya ulinzi ni kama ilikuwa na kamgomo kuhusu kocha na hasa swahiba wao manula kusugua benchiMimi nawaaasa Viongozi wakae meza moja na akina Nyoni na wenzake ambao walikuwa na kamgomo baridi kuhusu falsafa za kocha Sven, wapunguze uswahili swahili ili timu ipate mafanikio.
Sent using Jamii Forums mobile app