safu ya ulinzi ni kama ilikuwa na kamgomo kuhusu kocha na hasa swahiba wao manula kusugua benchiMimi nawaaasa Viongozi wakae meza moja na akina Nyoni na wenzake ambao walikuwa na kamgomo baridi kuhusu falsafa za kocha Sven, wapunguze uswahili swahili ili timu ipate mafanikio.
Wapumbavu sana.safu ya ulinzi ni kama ilikuwa na kamgomo kuhusu kocha na hasa swahiba wao manula kusugua benchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hii VAR ina vunja haki za ushindi hapa Tanzania inatakiwa ipigwe ban kuingia uwanja wa taifa.
Haha duh na mmevuta... Sasa mambo yakibana kesho msiseme hamkuwa fiti.ππππ Sisi ni kesho mjukuu wangu. Teh
Haaha kama kanisani vileHawa ni wazee wa jumapili hadi jumapili
Hongera kwa kuishabikia Coastal. Kila lakher Coastal piga hao Mbeleko bin Hiriz sc.Rushwa sc
Wouzeer [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]90+4' Katoka Uwanja Taifa dakika hizi za lala salam kwake Dilunga, kwake Shibuob
Wakati wowote mpira utamalizika Simba wanapiga pasi ya hapa na pale
Naaaaaaam mpira umekwishaaaa Simba wanaibuka kidedea kwa mabao mawili bila majibu dhidi ya Coastal Union yakiwekwa kimianina yote na Gerson Fraga 07' 78'.
VPL, FT: Simba SC 2-0 Coastal Union
.....Ghazwat
'Ngoja niwastue Brazil' ...........OYAA huko Brazil ...kuna vijana wenu wawili huku bongo ..washaiva kabisa .vitu wanavyoonyesha sio vya kawaida... sasa mnaweza kuwaita National team...OVA
Mimi nawaaasa Viongozi wakae meza moja na akina Nyoni na wenzake ambao walikuwa na kamgomo baridi kuhusu falsafa za kocha Sven, wapunguze uswahili swahili ili timu ipate mafanikio.