Sasa kwa maelezo yako mkuu, Kagere jana alikuwa dhahiri kwenye offside position.Mpira au pasi ya mwisho kupokea mchezaji ndio inayoamua kuwa yupo position ipi huyo anayeipokea mpira wakati unapigwa. Na kwa namna hiyo tuangalie wakati mpira wa kichwa unapigwa je Kagere alikuwa position ipi onside au offside?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app