Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Mpira au pasi ya mwisho kupokea mchezaji ndio inayoamua kuwa yupo position ipi huyo anayeipokea mpira wakati unapigwa. Na kwa namna hiyo tuangalie wakati mpira wa kichwa unapigwa je Kagere alikuwa position ipi onside au offside?

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwa maelezo yako mkuu, Kagere jana alikuwa dhahiri kwenye offside position.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia vizuri video usiongee kiushabiki,wakati mpira unapigwa Kagere hakuwa offside,ulivyopigea tu beki akataka kumkimbia Kagere,na hapo ndipo nyie msioangalia vizuri mnaposema ni offside
Beki kamkimbia kamkimbia kagere wakati mpira ulipopigwa na mkude,ule mpira usingechezwa na shibob basi isingekua offside,pale shibob alipougusa kwa kichwa tayari kagere alishakua peke yake so ni offside kwa kupewa pasi akiwa peke yake,reason ya pili baada ya kuupokea kautengeneza kabla ya kufunga maana alikua kaugekia golini kwake,angalia vizuri goli la samata lililokataliwa,jamaa angepiga 1 kwa 1 hata kama samata alikua kwenye offside position lingekua goli la jamaa lakini kitendo tu cha kumpasia samata ilishakua offside,kile kichwa cha shibob kisingeguswa na kagere iwapo mpira ungeingia kwenye nyavu lingekua goli,kuguswa na kagere tayari offsidehttps://youtu.be/Piy6EyL6jfk
 
Beki kamkimbia kamkimbia kagere wakati mpira ulipopigwa na mkude,ule mpira usingechezwa na shibob basi isingekua offside,pale shibob alipougusa kwa kichwa tayari kagere alishakua peke yake so ni offside kwa kupewa pasi akiwa peke yake,reason ya pili baada ya kuupokea kautengeneza kabla ya kufunga maana alikua kaugekia golini kwake,angalia vizuri goli la samata lililokataliwa,jamaa angepiga 1 kwa 1 hata kama samata alikua kwenye offside position lingekua goli la jamaa lakini kitendo tu cha kumpasia samata ilishakua offside,kile kichwa cha shibob kisingeguswa na kagere iwapo mpira ungeingia kwenye nyavu lingekua goli,kuguswa na kagere tayari offsidehttps://youtu.be/Piy6EyL6jfk

Angalia post namba 156 mkuu
 
Ile beki ilijichanganya kinoma. Nadhani alikuwa na mawazo mawili i) kuwahi kumzunguuka kagere ili auwahi mpira na kuuokoa ii) alidhamiria kucheza offside trick. Lolote katika hayo asichokuwa akijua ni kuwa mtu aliyekuwa akikabana nae ni international professional hasa anapokuwa kwenye eneo la 18

Sure mkuu,watu hawataki kukubali hili
 
Kama Ghazwat 😎😎😎 kwa mbaali itakuwa ameshajua ile ni mbeleko na ndio sababu post zake leo zimepooa.

Mana wakishinda kihalali huwa anatambo zinazoambatana na maneno yale ya karaha lakini leo hazipo. 🤣
Basi atakua muelewa huyo 😀
 
Unakijua sana Mtani. Najua kiulaya Ulaya tupo Chama moja.

Vp uliangalia mechi yetu jana na Man City? Vp lile goli la Hun Aguero lililokataliwa uliliona?
Lile la kipindi cha pili alilofunga na kusababisha nitake kwenda kulala, kabla ya kuona kibendera cha mwamuzi kiko juu kuashiria kua ni offside? La la sikuliona😉
Shadeeya siku hizi mmekuwa watu wa kulalamika sana, sawa inaweza kuwa ni offside goli la kagere lakini hayo siyo makosa ya Simba ni makosa ya waamuzi wetu,
Ifike wakati sasa tucheze mpira na siyo kulalamika kila leo(Yanga)

Simba nguvu moja
 
Sasa kwa maelezo yako mkuu, Kagere jana alikuwa dhahiri kwenye offside position.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mkuu huoni wakati mpira wa kichwa unapigwa kwenda kwa Kagere alikuwa kwenye offside position? Au mpaka tuweke sheria ya offside kwa kiingereza labda itaeleweka manake Kiswahili kigumu kuelezea jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umedandia jambo bila kufatilia kinachozungumzwa ni nini tokea mwanzoni. Kuna mtu nilikuwa namuelewesha alikuwa anasema haikuwa offside.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna timu ndani ya ligi kuu Mashabiki wao na viongozi Wao kwa makusudi wameamua kuacha kuangalia ni namna gani wataifanya timu yao iwe bora lakini wamegeuka kuwa VAR wa mechi Za Simba ningependa kuwashauri TFF wawaajiri hawa watu kwenye kitengo cha VAR maana wanaiweza hiyo kazi vizuri Kabisa. VAR FC, Chura Churani Fc, Tunaonewa Fc, Malalamiko Fc, Simba Wanabebwa Fc.
 
hapo mpira umeshapigwa beki kamkimbia mkuu,chukua screenshot ya kutokea kwa mpigaji mpira
Kwani mpigaji wa mpira alipiga mpira direct kuja kwa kagere? Unaonekana sheria huijui.

Ni hivi mfano mimi ni beki wewe ni mshambuliaji; mpira umekuja langoni mwangu halafu mimi na wewe tupo position sawasawa hapo ukipewa mpira utakuwa onside. Lakini endapo hukupewa mpira kwa wakati ule, mimi nikamove mbele kufuata mpira au kufuata movement wa mpira halafu baadae ukapigwa mpira kuja kwako hapo utakuwa kwenye offside position.

Hakuna sheria inayosema beki lazima abaki na adui nyuma golini mwake. Bali sheria iliyopo ni kwamba wakati mpira unapigwa kuja kwa mtu, huyu mpokeaji wa mpira anaangaliwa kama anaupokea mpira akiwa kwenye onside au offside position. Hivyo kagere wakati mpira wa kichwa unapigwa yeye alikuwa kwenye offside position

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila siku controverse zipo kwenu tu? Jana assistant mmoja anawapa goli la offside,mwingine anaua movements za Namungo kwa offside za uongo wanapolikaribia goli la Mikia.......aibu ya wazi

Ivi kwanini kila timu inalalamika vyumba kupuliziwa dawa? Jana na Namungo naowamelalamika
Wewe ni Namungo kwanza mkuu?
 
Back
Top Bottom