steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 10,643
- 12,247
Beki alimkimbia kagere wakati kabla bado ule mpira aujaguswa na kichwa,kitendo cha mpira kuguswa na kichwa while kagere yuko peke yake ilishakua offside,then hata kama usingeguswa wakati beki kamkimbia kagere isingekua tu offside kama kagere angeunganisha direct kuupiga golini,lakini alijitengenezea kwa raha zake,ile ni clear offside na utaona tff itamsimamisha yule line 2 lakini matokeo yatabaki hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia vizuri video usiongee kiushabiki,wakati mpira unapigwa Kagere hakuwa offside,ulivyopigea tu beki akataka kumkimbia Kagere,na hapo ndipo nyie msioangalia vizuri mnaposema ni offside