Haya lete screenshot ya wakati mpira unamfikia Shiboub, na kupigwa kichwa na Shiboub, tuone Kagere alikuwa position ipi.Mpira ukishapigwa na mtoa pass mfungaji akitoka kabla mpira haujamfikia hiyo si offside
Sina haja ya kuhangaika na othumani kazi,wakati kila kitu kinaonekana tu nawewe ukweli unaujua vizuriBasi angalia kipyenga cha mwisho leo usiku kumaliza utata wote Azam TV
Kagere alishakuwa kwenye offside position kabla hata mpira haujamfikia Shiboub. Shiboub kampa pasi ya kichwa Kagere, akiwa tayari kwenye offside positionMpira ukishapigwa na mtoa pass mfungaji akitoka kabla mpira haujamfikia hiyo si offside
Eeee!! Lazima muwe na jeuri wana TFF FC. 😎😎
Kwani mpigaji wa mpira alipiga mpira direct kuja kwa kagere? Unaonekana sheria huijui.
Ni hivi mfano mimi ni beki wewe ni mshambuliaji; mpira umekuja langoni mwangu halafu mimi na wewe tupo position sawasawa hapo ukipewa mpira utakuwa onside. Lakini endapo hukupewa mpira kwa wakati ule, mimi nikamove mbele kufuata mpira au kufuata movement wa mpira halafu baadae ukapigwa mpira kuja kwako hapo utakuwa kwenye offside position.
Hakuna sheria inayosema beki lazima abaki na adui nyuma golini mwake. Bali sheria iliyopo ni kwamba wakati mpira unapigwa kuja kwa mtu, huyu mpokeaji wa mpira anaangaliwa kama anaupokea mpira akiwa kwenye onside au offside position. Hivyo kagere wakati mpira wa kichwa unapigwa yeye alikuwa kwenye offside position
Sent using Jamii Forums mobile app
Sorry mkuu nimekuelewa.Mkuu umedandia jambo bila kufatilia kinachozungumzwa ni nini tokea mwanzoni. Kuna mtu nilikuwa namuelewesha alikuwa anasema haikuwa offside.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni kosa la beki mwenyewe, tena alifanya kusudi hadi mtoto mdogo anajua kama shida afanye offside trick. Ndiyo maana alirudi Mbele asiwe level naye moja, alichobugi ni kukutanisha miguu ili mmoja usizidi na inaonekana alitaka kutengeneza tukio. Tazama hatua yake ya kurudi mbeleWeka wakati Shibob anapiga kichwa,japo inaonekana beki wa Namungo alimkimbia Kagere wakati kichwa kinapigwa na Shibob ndo maana akabaki peke yake
Jana kipyenga cha mwisho imethibisha kagere aliotea na penalty ya Yanga dhidi ya Prisons haikuwa halali. so katika hizo mechi mbili wote Simba na Yanga walibebwa na hivyo kama mpenzi wa mpira na si shabiki watimu tunahitaja balanced na analysis ya pande zote siyo kila wakati simba kabebwa simba kabebwa utadhani ni uke wenza.Kagere alishakuwa kwenye offside position kabla hata mpira haujamfikia Shiboub. Shiboub kampa pasi ya kichwa Kagere, akiwa tayari kwenye offside positionView attachment 1341084
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafadhari yuletee na clip iliyozaa goli la kwanza la penalty kwa Yanga pia tuone uhalali wake.Kagere alishakuwa kwenye offside position kabla hata mpira haujamfikia Shiboub. Shiboub kampa pasi ya kichwa Kagere, akiwa tayari kwenye offside positionView attachment 1341084
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana siku nzima nilikuwa nabishana na nyie mnaokataa kuwa Kagere hakuwa kwenye offside position. Ni wazi sheria za mpira hamzijui mmekalia ushabiki tu, unasubiri Othman Kazi akutafsirie sheria. Bila Othman Kazi kusema kuwa Kagere alikuwa kaotea usingekubaliana na mimi kuhusu offside ya Kagere. Wewe na wengine type yako ni mashabiki oya oya mliojawa na mahaba pasipokujua hukumu ya sheria inasemaje hata kama imekupa favour upande wa timu yako.Jana kipyenga cha mwisho imethibisha kagere aliotea na penalty ya Yanga dhidi ya Prisons haikuwa halali. so katika hizo mechi mbili wote Simba na Yanga walibebwa na hivyo kama mpenzi wa mpira na si shabiki watimu tunahitaja balanced na analysis ya pande zote siyo kila wakati simba kabebwa simba kabebwa utadhani ni uke wenza.
Hiyo apoTafadhari yuletee na clip iliyozaa goli la kwanza la penalty kwa Yanga pia tuone uhalali wake.
Hewaaaaaaaaa hii ndiyo habariiiii yenyewe. Sasa gongowazi wakitaka kuzungumza ya simba wasisahau yakwao. Mbuni kuficha kichwa mchangani matako nje,
Hata Maradona alisema ule haukuwa mkono wake labda wa mungu.Jana siku nzima nilikuwa nabishana na nyie mnaokataa kuwa Kagere hakuwa kwenye offside position. Ni wazi sheria za mpira hamzijui mmekalia ushabiki tu, unasubiri Othman Kazi akutafsirie sheria. Bila Othman Kazi kusema kuwa Kagere alikuwa kaotea usingekubaliana na mimi kuhusu offside ya Kagere. Wewe na wengine type yako ni mashabiki oya oya mliojawa na mahaba pasipokujua hukumu ya sheria inasemaje hata kama imekupa favour upande wa timu yako.
Sent using Jamii Forums mobile app