Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Daaaah yaaani Simba inatesa mpaka wanafamilia wangu, maaana nimeskia babaaaaaaaaaaaaa gooooooal natoka chumban ndukiii. Ayseee mpira noma
 
Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii Uuuuwiiii kamata tupu ndani Tunakuja huko muda si mrefu wasiojulikana washafanya yao ni kuwazomea na kuwafuza tuu Kama bundi kila unakoelekea ni kuzomewa tuu Umezomewa weeee umekosa wakukualika sasa unatafuta wafuasi wenzako njoo kwangu ule unywe ukibanwa na Mavi nakupa Choo unakunya tuu sisi hatuna ROHO mbaya Kama yako nikaahirisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
88' Kagereeeeeeee Goooooooooooooooooooaaal GOOOOAAL Simba wanaandika bao la tatu kupita kwa Maddie Kagere

Simba SC 3-2 Namungo FC
 
Malalamiko fc line aliyoivunja kabwili athari zake mmeziona huku?

It's Scars
 
Nini kinanuka paleeeee mama kambelekete gooooooooal iwe off side au sio sisi hatujui ilo
 
90+3' Kona kuelekea Namungo FC

Inapigwaaaaaa Kona kwake Shiboub, kwake Mkude anapigaaa njeee

Wakati wowote mpira utakwisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…