Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC dhidi ya Namungo FC, Kazi Ipo Uwanja wa Taifa

Ni mpira unapigwa kuelekea Simba, unapigwa mpira mrefu unaokolewa na mabeki wa Simba
 
45+2' Golikipa wa Namungo FC anafanya kazi ya ziada kuokoa hatari langoni kwake

Kwake Tshabalala, unarudishwa kwake Wawa...

Anapiga mbeleeee

Naaaaaaam mpira ni mapumziko ambapo simba wanatoka wakiwa na mabao mawili kwa moja dhidi ya Namungo FC

VPL, HT: Simba SC 2-1 Namungo FC
 
Kagere ame flop kabisa yupo yupo tu uwanjani kama kuku aliyekatwa kichwa.
Hivi kuna siku unaweza kuangalia game bila kutoa lawama..

Hivi hujui sasa kuwa mfumo wa Vanderbroeck ni tofauti na Aussems , sasa Kagere unamlaumu veep...Badilika Mkuu
 
Bila unafiki, kiwango chake hasa umakini wa kukaa kwenye position na kumalizia nafasi umeshuka sana. Pia mfumo unamtesa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwango cha kagere hakijashuka ila litimu sikuhizi limekuwa la hovyo...timu ina mastraika wawili tu boko na kagere na sikuhizi huwa anacheza kagere tu...mabeki wa timu pinzani wanajua muuaji wa simba ni kagere so anakabwa yeye tu...tatizo la simba ni viongozi...litimu sikuhizi lina bureaucracy sana...timu mabeki hamna tumebakiza mizee ile mda wote mizito imesimama ikikutana na foward zinazokimbia basi tuandae kapu la magoli...kwa bureaucracy iliyopo simba nakwambia hata leo makipa wote waumie tunaweza cheza msimu mzia bila kufanya usajili wowote wa makipa na kwa akili za viongozi wetu usishangae wakamwambia kagere ndo awe kipa...simba sahivi inahitaji iongeze ma straika wazuri wawili vijana waje kuwasaidia kagere na boko na ma beki wa tatu central,left na right back...na wamrudishe kotei sababu pengo lake bado halijazibika...cha kushangaza akili za viongozi wa simba wanasajili wa kina kichuya ambao wameshindwa soka la kulipwa huko tena timu za daraja la pili viwango vimeisha
 
Kocha ajaribu kuweka forward 2 aone matokeo. Mipira inapanda vizuri ila inakuta Kagere kakabwa na beki 3. Utapenyaje
 
Bila unafiki, kiwango chake hasa umakini wa kukaa kwenye position na kumalizia nafasi umeshuka sana. Pia mfumo unamtesa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwango cha kagere hakijashuka ila litimu sikuhizi limekuwa la hovyo...timu ina mastraika wawili tu boko na kagere na sikuhizi huwa anacheza kagere tu...mabeki wa timu pinzani wanajua muuaji wa simba ni kagere so anakabwa yeye tu...tatizo la simba ni viongozi...litimu sikuhizi lina bureaucracy sana...timu mabeki hamna tumebakiza mizee ile mda wote mizito imesimama ikikutana na foward zinazokimbia basi tuandae kapu la magoli...kwa bureaucracy iliyopo simba nakwambia hata leo makipa wote waumie tunaweza cheza msimu mzia bila kufanya usajili wowote wa makipa na kwa akili za viongozi wetu usishangae wakamwambia kagere ndo awe kipa...simba sahivi inahitaji iongeze ma straika wazuri wawili vijana waje kuwasaidia kagere na boko na ma beki wa tatu central,left na right back...na wamrudishe kotei sababu pengo lake bado halijazibika...cha kushangaza akili za viongozi wa simba wanasajili wa kina kichuya ambao wameshindwa soka la kulipwa huko tena timu za daraja la pili viwango vimeisha
 
Kocha ajaribu kuweka forward 2 aone matokeo. Mipira inapanda vizuri ila inakuta Kagere kakabwa na beki 3. Utapenyaje
Tangu lini timu ikawa na mstraika wawili tu...tatizo la viongozi wa simba inaonekana ni watu ambao mpira hawajui wapo simba kwa sababu zao tu binafsi za kimaslahi...simba inatakiwa ifanye usajili wa mastraika wa kuwasaidia boko na kagere...unachezesha straika mmoja alafu unataka afunge wakati mabeki wa timu pinzani wanamwangalia huyo tu...chakushangaza timu inakuletea wale wauza matikiti wa brazil na kuwarudisha wakina kichuya huku wakiwaacha wakina kotei ambao mapengo yao bado yanaonekana hadi leo
 
51' Anakwendaa kwake Tshabalalaaaa, ni fauloo kuelekea Namungo FC

Inapigwaaaaaa inaokolewa, Bukaba ameingia kuchukua nafasi ya mtu upande wa Namungo FC
 
Huyu refa mwanamama mzuri anamipaja myeupeeee naitwa Nani mzuri kuliko rukyaa
 
56' Kagereeee goooo laaaaaaaaaa kichwa chake kinatoka sentimita chache ya lango la Namungo FC

Anaingia Chama, ametoka Ajibu upande wa Simba

Simba SC 2-1 Namungo FC
 
Back
Top Bottom