Vodacom Premier League 'VPL' Simba SC Vs Lipuli FC Uwanja wa Uhuru, Ushindi Pamoja na Burudani

Safi kabisa. Asante kwa updates
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona Sven anaanza kumuamini na kumpa nafasi zaidi Beno David Kakokanya, kwangu mimi huyu yuko fomu zaidi ya Manula kwa sasa.
Nilikuwa nawaambia wanaSimba humu kuwa Aussems alikuwa anauwa vipaji wakawa wabishi, na mmojawapo ni Gents. Matola na Sven ni moto, kila mchezaji anapata nafasi ya kucheza, sio walewake kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nawaambia wanaSimba humu kuwa Aussems alikuwa anauwa vipaji wakawa wabishi, na mmojawapo ni Gents. Matola na Sven ni moto, kila mchezaji anapata nafasi ya kucheza, sio walewake kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefulahishwa sana na Kakolanya naye kuanza kucheza Aussein ni Manula Manula Manula, Taifa Manula, Simba Manula kila siku hadi kichefuchefu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…