Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Asante mtani leo mjitahidi basi ili msilalamike kuwa hamjatendewa hakiOoh!! Karibu tena Mtani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mtani leo mjitahidi basi ili msilalamike kuwa hamjatendewa hakiOoh!! Karibu tena Mtani.
Wakitenda haki matokeo tunapata Mtani. Sababu kama juzi mbali na maonevu ya refa Uwanja nao ulikuwa changamoto pia.Asante mtani leo mjitahidi basi ili msilalamike kuwa hamjatendewa haki
Kumbe na wewe Mtani hii ndio mida yako?Asante mtani leo mjitahidi basi ili msilalamike kuwa hamjatendewa haki
Ndio mtani naunga mkono juhudi zako za kuamka na jfKumbe na wewe Mtani hii ndio mida yako?
😀😀😀 Haya Mtani.Ndio mtani naunga mkono juhudi zako za kuamka na jf
Mtani ina maana ninyi tu ndio huwa hamtendewi haki? Kuhusu viwanja wahusika wajitathmini kabla ya kukubali matumizi ya viwanja hivyoWakitenda haki matokeo tunapata Mtani. Sababu kama juzi mbali na maonevu ya refa Uwanja nao ulikuwa changamoto pia.
Sio sisi pekeyetu ila kama mechi ya juzi yule Mama katuuza sana. Ila ndio ishapita imebaki stori.Mtani ina maana ninyi tu ndio huwa hamtendewi haki? Kuhusu viwanja wahusika wajitathmini kabla ya kukubali matumizi ya viwanja hivyo
Poleni, nitapita huku tena saa 4 usiku siku njema sports ladySio sisi pekeyetu ila kama mechi ya juzi yule Mama katuuza sana. Ila ndio ishapita imebaki stori.
Hakika Mtani kama usemavyo wahusika wa Viwanja wajitathimini.
Uuwiii!! Sawa Mtani tuombe uzima.Poleni, nitapita huku tena saa 4 usiku siku njema sports lady
Kila jambo ni hatua Mtani.Mnasubiri nini kujenga uwanja wenu, kwani ukubwa wa timu yenu ni upi? Mnashindwa na Namungo FC [emoji23]
Mlipewa kama zawadi ya XmassPenaaaaaaaat
Usiruhusu unazi ukutoe Akili zote
Simba ni timu kubwa,mastaa wa Simba lazima walindwe kwa gharama yoyote ileMlipewa kama zawadi ya Xmass
AmenUuwiii!! Sawa Mtani tuombe uzima.