Vodacom Premier League 'VPL Uwanja wa Uhuru Dar: Simba SC 0 - 1 JKT Tanzania

Usikute anaesema hivi ni miongoni mwa waliong'oa viti siku ile Tambwe anatupia.
 
Labda umesahau kuwa manara alilkuwa bingwa wa kulalamika mpaka alibeba TV na kwenda nayo kwenye press. Waamuzi wawabane kama mechi tatu hivi tuone kama Manara hajaenda FIFA kabla hata ya ligi kuisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaomba sana tufanane nao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa I see wanafutiza makosa ya uongo yawe sawa na wao. Eti lile lilikuwa goli? Mikia bwana,wanaona aibu sana kitendo kinachofanywa kila mechi kusajiri marefa. Si umeona leo baada ya kufungiwa baadhi ya waamuzi leo mikia wamegongwa. Pamoja na kikosi cha bilions bado wananunua mechi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli, tuna kikosi kipana, mechi zilizopita tulikua na wachezaji 14 uwanjani wakati wapinzani wetu wao walikua 11.

Hii ndio tafsiri ya kikosi kipana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana ya kikosi kipana.
 
Wacha tufurahie vichekesho vya bure. Wakati wa Vita vya Ghuba kulikuwa na Comical Ali. Nasi kwenye Ligi Kuu tunashukuru kujaaliwa Comical Haji!
 
Utakua umeanza leo kupenda mpira,manara uwa anabeba mpaka tv kulalamika
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani half time hiyo yule mwenye mpesa awaishe vyumbani haraka kwa waamuzi,tusifanye makosa Shadeeya kama hujamalizia mchango wa Vibendera toa haraka hali ni mbaya huku
Hahahahaaaa. lol.

Walijua kila siku jumamosi eti. πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
 
Naanza page ya kwanza lengo ni kuwapa likes tu na kuangalia Watani zangu Ghazwat na Penison mana hali kama hii ikitokea huwa hawaivi chungu kimoja. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mnyama mkali Simba sc tafuna virungu vya hao maafande.

Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020 - 2029/2030
Wachaaaaa. 🀣🀣🀣

Imekuwaje vimetushinda kutafuna sasa. Daah. Mana cha zaidi wametuchapa kimoja cha mgongo tu Mtani. Tumekwama wapi eti.😎😎😎😎
 
Mtani Ujue umefanya kicheko changu cha jana kimerudi. Teh teh teh

Kam baki tuliyoizowea jana imekataa bana. Nimenuna vibaya hapa. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
@Shadeeya umefurahi sana si ndio?
Wacha mpapaswe na Masau bwire leo ili mtulie.

Simba nguvu moja
Simba bingwa 2019/2020
 
Inasikitisha,Inaumiza sana huu mpira unachezwa na Simba ni Aibu ni Fedheha kubwa huwezi ukaamini hii timu imejaa Professional players kutoka mpaka Brazil.
Mtani wasemaa? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Viongozi wafanye maamuzi mapema Simba haina kocha ina muhuni wa kizungu tu Mashabiki acheni kwenda uwanjani waende wenyewe.
Hebu tuachie kishingo wetu banaa. Mbona tulivyoshinda nne nne hukumtoa kasoro Teh teh. 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…