Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
...na ndiko wanakoelekea!!Wakiongeza share zao kwenye VODA Africa zikafika 75% wataweza kubadili jina kuwa Vodafone
TRA ilalia na walalahoi na si MATAJIRI na MAKAMPUNI MAKUBWA!
Halafu watu wakitoka hapo "wanadhani uchaguzi WATAUSHINDA kirahisi!!" kila siku TUNAWACHANGIA.... mauti yetu yapo mokononi mwao...
