Hawa jamaa niliwapenda sana ika ilifikia mahali nikachoka, Nilijuwa na utaratibu wa kujiunga na kifurushi cha wiki ambacho unapata sms dkk na internet buundle 700 mb, nilishangaa baada ya siku mbili wakati nipo mtandaoni naambiwa MB zako zimekwisha, kitu kikubwa nilifanya nilidownload kitu chenye MB 46 tu na browse internet kwa kutumia simu yangu ya mkononi nikawapigia simu wanitumie taarifa zangu za matumizi ya MB wakasema watatuma ndani ya muda mfupi matokea yake wiki na miezi ilikatika, ndio hapo nikaamua kuwaachia vumbi, halafu hapa maeneo ya THEMI NANENANE Arusha mtandao upo slow mno yaani kufungua tuu ile page ya google ni 15 min...Daaaaah kwaherini VODA