Hatuwezi kuhahalilisha ujambazi kwa kutumia ujambazi.....kama watu walikuwa wanaiba kw akutumia PD proxy, basi wachukuliwe hatua......lakini sio kwa njia ya kulazimishana (in this case KUIBA) gharama za service ambayo mteja hatumii/bila dhamira yake
Mkuu kama unaelewa hizi gharama zinachajiwa vipi na Vodacom tusaidie tupate kuelewa.....how do these people charge your phone........huku niliko nikitaka matumizi ya internet kwenye simu yangu nanunua package ya mwezi na wala hii gharama haingiliani na pesa nitakazokuwa naweka kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mawasiliano ya simu....kwa hiyo najua kabisa how much nina-spend kwenye internet na how much kwenye mawasiliano ya simu....
...sasa kwa maelezo ya Lole Gwakisa....inaelekea yeye aliweka TShs 10K.....na baada ya muda imeisha bila ya yeye kujua imeishaje........watu wengine wanasema eti kwakuwa aliacha ON matumizi ya data!!!......kwanini hivi vitu visitenganishwe? ukiweka pesa yako kwenye simu hata iwe TShs 100K....iwe ni kwa matumizi ya mawasiliano ya simu.....na pale unapotaka kutumia internet unatuma ujumbe/code ili kununua package unayoitaka.......either kununua kupitia salio lako kwenye simu au kununua upya kabisa......
Kinachonishangaza ni kusikia huko bongo ukishaweka pesa yako kwenye simu tu.......ni lazima uhakikishe "eti data iwe OFF kwenye simu yako".....WHY?....hii ni kama kulazimisha gharama kwa mtu hata kama hatumii service yenyewe!......hence huu ni WIZI