Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Nyie mnaosisitiza watu wahamie mitandao mingine mnadhan ndo solution? Nan kakwambia kukimbia tatizo ndo kulitatua?!

Hv ulikaa ukafikir kwamba wote wakiihama voda then na iyo mitandao mingine ikianza kuzingua mtahamia wapi tena?!au mtaanzisha mitandao ya kwenu?

Hakuna mtandao uliokamilika kila mtandao una mapungufu sema yamezidiana tu.ACHA WATU WAWASEME VODA ILI WAJIREKEBISHE NA SIO KUHAMA MTANDAO..Ni mtazamo tu
 
Aise kumbe mpo huku.Mnaboa kwa kweli,nimeingia gharama za bundle halafu hata page haifunguki.

Ndugu mteja,pole sana. Tafadhali tujulishe upo eneo gani. Pia tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.
 
Ndugu mteja,pole sana. Tafadhali tujulishe upo eneo gani. Pia tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.

kwa sasa npo bukoba nawaambiaje jana ndo nimeweka salio la mwisho voda itakuwa hewani ila sitoweka salio tena.

Namba yangu ni ......058989 utaona history yangu kabla hamjaleta upuuzi wenu huu wa sec 45 mitandao mengine na kifurushi cha wiki hamjakichakachua nlikuwa mteja mzuri sana najiunga na kifurushi cha wiki 4200 roho inafarijika ila huho mpuuzi aliyewashauri mpunguze kawafukuzia wateja mie mmoja wao.

Kwaheriniiii hamjui market,wala hamfanyi research watumiaji wenu ni watu wa aina gani.
 
Habari waungwana.

Imebini nilete hii taarifa humu kwa kuwa nimejaribu kuwasiliana na customer care bila mafanikio.

Jana jioni nilinunua kifurushi cha internet cha weekly cha unlimited kwa tsh 12,500/= ila hadi muda huu naandika hapa sijatumia hata kb 1 ya huduma niliyoilipia.

Kwa kweli nimekereka sana na naona huu ndio mwisho wangu kutumia vodacom kwenye internet...acha nibaki kwenye mpesa yao ambayo nayo kwa jinsi inavyoenda naona pia nitajitoa ..

Vodacom CS Support
 
Last edited by a moderator:
Habari waungwana...
Imebini nilete hii taarifa humu kwa kuwa nimejaribu kuwasiliana na customer care bila mafanikio...
Jana jioni nilinunua kifurushi cha internet cha weekly cha unlimited kwa tsh 12,500/= ila hadi muda huu naandika hapa sijatumia hata kb 1 ya huduma niliyoilipia..
Kwa kweli nimekereka sana na naona huu ndio mwisho wangu kutumia vodacom kwenye internet...acha nibaki kwenye mpesa yao ambayo nayo kwa jinsi inavyoenda naona pia nitajitoa ..

Vodacom CS Support

Habari ndugu mteja,tafadhali tutumie namba unayotumia kwa msaada zaidi na eneo ulilopo,pole sana.
 
Najua mlichokifanya...soon nitakileta hapa kwa thread nyingine.. ngoja nimalizie kautafiti kangu..
 
Hamia Airtel,
Wewe, Jamaa pamoja na Marafiki zako..
Hata wewe Vodacom CS Support hamia Airtel ujionee maana halisi ya Yatosha..
 
Last edited by a moderator:
Voda na mimi mnanikatisha tamaaa natumia modem na kifurushi ni unlimited lakini network inavyonichangaya hadi siioni maana ya kuweka hiki kifurushi. jisahihisheni tutawakimbia,
 
Sheeh mimi nilinunua bando moja wanaiita unlimited ya sh. elfu 40, nikashangaa napewa Gb 3,ikabidil niwaulize wakaniambia ndivo ilivo,ilibidi nikae kimya,Vodacom siku hizi wamekuwa wezi sanaa
 
ata mie asee modem yao nimeamua kuiacha rasmi,nina siku ya 4 sasa naadnikiwa tu GSM isingekua nalipiwa! ningewashtaki warudihe elfu 40
 
Nimenunua kifurushi cha cha blackberry cha absolute yani ni majuto, hauwezi kuplay videos, internet is slow, uwezi tumia kwenye PC.

Yani nimejuta kwa nini sikununua cha Tigo. Hawajamaa ni wezi waziwazi. Hawafai.
 
Airtel Yatosha ndio mpango mzima......fanya maamuzi sahihi.......u will never regret
 
Manchester United BINGWA,Airtel BINGWA,hata mimi Sanoyet BINGWA! je,wewe hutaki kuwa BINGWA kama Man u 1-Sunderland 2
 
Back
Top Bottom