Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Hata mm niliwapigia cm juzi baada ya kuniibia kifurushi.Wasipo badirika watatupoteza!!
 
Habari ndugu mteja,tafadhali tutumie namba unayotumia kwa msaada zaidi na eneo ulilopo,pole sana.

Na mje muondoe hili dubwasha lenu la ku charge simu hapa JK Nyerere Int'l Airport Domestic Departure halifanyi kazi.........linakaa kama uchafu..........
 
inakuwaje mnatoa sekunde 50 tu kwenye cheka bambastiki ya 500 kwenda mitandao mingine? mlifikiria nini kufanya uamuzi huu?

mkuu huu uamuzi walichukua wa kijinga sana bora wafute tu ieleweke hakuna Bombastic kwenda mitandao mingine.
 
Na mje muondoe hili dubwasha lenu la ku charge simu hapa JK Nyerere Int'l Airport Domestic Departure halifanyi kazi.........linakaa kama uchafu..........

Preta ulitaka ucharge airport?
 
Na mje muondoe hili dubwasha lenu la ku charge simu hapa JK Nyerere Int'l Airport Domestic Departure halifanyi kazi.........linakaa kama uchafu..........

Teh teh teh.....ulishawahi kujaribu kulitumia nini?
 
Hata mm niliwapigia cm juzi baada ya kuniibia kifurushi.Wasipo badirika watatupoteza!!

Hawa vodacom wameshindwa kazi Mimi huwa natumia kifurushi cha mwezi kimeisha bila hata kutumia kulikuwa na vipesa katika simu navyo wamekomba kuhama ndio njia iliyobaki
 
Habari ndugu mteja,tafadhali tutumie namba unayotumia kwa msaada zaidi na eneo ulilopo,pole sana.

I have been exosriencing the same problem for the past two days, pamoja na kujiunga na huduma ya Intsrnet kwa wiki nzima...ni sawa na hakuna, worse ni kwamba hata ninapojaribu kuomba vifurushi vya siku,...vinakuwa Consumpted BILA KUPATA HUDUMA stahiki...TAFADHALI SAIDIA KATIKA HILI!
Siku ya tatu bila huduma!
 
jf tulilubaliana kwamba moja ya new year resolutions ni kuihama voda na kwenda airtel. ww bado unasubiri nini
 
voda mb 700 siku 2.airtel mb 400 wiki mzima hapo tofauti iko wapi? voda ni wezi
 
voda mb 700 siku 2.airtel mb 400 wiki mzima hapo tofauti iko wapi? voda ni wezi
Mimi natumia nokia asha kwa wiki napata internet mara mbii tu diku nyingine zote sipati. Nimeshahsmia Tigo
 
The only thing they can respond immediately ni pale ukijibu yale maswali yao ya " eti Diamond anatoka na wema au snura"
 
nina modem ya zantel mwaka wa 5 sijawahi ona shida njoo huku ujaribu ni sh 25000/= unaondokana modem
 
HABARI NJEMA! Dakika za Cheka Bombastik za kupiga mitando yote Tanzania zimerudi. Piga *149*01# sasa kuchagua kifurushi upendacho! Vodacom, Kazi ni Kwako!

Nieona hii katika ukurasa wa habari mchanganyiko.

Hakuna kitu kama hicho!!!

Ile hela ambayo naamini wameichota toka talk time account yangu(elfu ishirini) wala haijarudishwa hadi leo hii , licha ya bla bla nyingi zisizo na msingi toka kwa staff wao.
Tatizo lao wanafikiri wote ni ma-laymen wa mitandao, hivyo kuibiwa at will.

Hapo unawekewa offer kama za hapo juu ambazo ni kama mwanga kwa kumbi kumbi ili muwe wengi wawachote kwa urahisi!
 
Back
Top Bottom