Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

ADMIN sijui yupo wapi ?
Hebu njoo wadelete hawa voda na hii sticky yao ifute maana ni uchafu mtupu 6ma hatuoni faida ya hawa wezi (vodacom).
Na hakyamungu siku mkija mtaani kwetu tutawaaibisha bure au hata kuwatimua kama vibaka wa simu na wezi wa kuku.
 
ADMIN sijui yupo wapi ?
Hebu njoo wadelete hawa voda na hii sticky yao ifute maana ni uchafu mtupu na hatuoni faida ya hawa wezi (vodacom).
Na hakyamungu siku mkija mtaani kwetu tutawaaibisha bure au hata kuwatimua kama vibaka wa simu na wezi wa kuku.
YOU HAVE LOST YOUR BUSSINES.
 
Vodacom Tanzania, I want the answer coz' this's too much! Ni upumbavu huu mtu umenunua bundle ya mwezi mzima halafu bado unalazimika kununua bundle za mitandao mingine kwavile hakuna connectivity kutoka kwenye mtandao wenu! Nimetoa above claims six hours earlier but still no response! Sasa ulikuja JF kufanya nini ikiwa huwezi ku-handle customer complaints?

Hii mijamaa bure acha tuwasubiri WA Vietnam tu
 
Last edited by a moderator:
Kwanza nashkuru adimin kwa Hoja nzr hawa jamaa wetu wa vdcom wanamapungufu mm lain yng haitumi walahaipokei kitu chchte nimetoa taarfa mpaka nimechoka heb naomba nisaidie nifanyje au nihamie mtndao mwngne au utawapa taarifa hiyo WH
 
Nina tatizo mnamakato ambayo Mimi binafsi sielewe kwani niliweka 10000/na nilikua name data name mud a Wa hewani nikakuta salio limekatwa
 
Vodacom internet mnaibia wateja. Jana tarehe 6 Machi, 2016 nilinunua muda wa maongezi sh 2000 na wakati huo nilikuwa na airtime ya Cheka dk 46 mpaka tarehe 12 Machi. Katika hiyo 2000 nikanunua bundle ya sh 500 kwa 24 hrs mb 200. Nikabakiza mb 125 ambazo sikuzitumia kwa kuwa muda ulikwisha. Nilitegemea kuwa ninazo sh 1500 xilizobaki ili niongeze bundle lkn nikakuta sh 300 tu nami huwa na disable data na wifi kila nikilog out. Fedha zangu sh 1200 mmeniibia na mnaiba sana za Wateja ambao hawafuatilii Salio. Kama mnamkusanyia Low asa tujue! Mm nahamia mitandao mingine.
 
Vodacom internet mnaibia wateja. Jana tarehe 6 Machi, 2016 nilinunua muda wa maongezi sh 2000 na wakati huo nilikuwa na airtime ya Cheka dk 46 mpaka tarehe 12 Machi. Katika hiyo 2000 nikanunua bundle ya sh 500 kwa 24 hrs mb 200. Nikabakiza mb 125 ambazo sikuzitumia kwa kuwa muda ulikwisha. Nilitegemea kuwa ninazo sh 1500 xilizobaki ili niongeze bundle lkn nikakuta sh 300 tu nami huwa na disable data na wifi kila nikilog out. Fedha zangu sh 1200 mmeniibia na mnaiba sana za Wateja ambao hawafuatilii Salio. Kama mnamkusanyia Low asa tujue! Mm nahamia mitandao mingine.

This is serious issue!!! Wapo wapi hawa watu mbona hawatoi majibu??
 
Halafu kitu kingine hawa vodacom, kwa upande wa huduma za fedha(M-pesa), mteja anaweza enda kutoa fedha kwa wakala, baada ya muda mteja anapiga simu voda kuwa samahan nimekosea namba ya wakala, hawa jamaa, VODACoM huishia kublock salio la wakala kimyakimya na hatima yake fedha anarudishiwa mteja bila hata ya kutaarifiwa: huu ni uhuni
 
TCRA sijui kazi yao ni nini? hawa vodacom ni janga la mawasiliano kwa watanzania.
 
Upande wa internet
Ningependa mrekebishe kitu kimoja ambacho naona hakija kaa sawa. Pale bundle ya internet inapokwisha bila mie kujua isikate kwenye salio. Ingekuwa vyema salio la muda wa maongezi lisitumike katika internet mpaka nijiunge tena. Kama hili litarekebika basi mtakuwa vizuri 100% nashukuru kwa thread hii.
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania

Kampuni yenu mmekuwa wababaishaji!!! Ni wiki tatu sasa mmeshindwa kurejesha pesa yangu kila nikiwapigia simu maelezo mengi na vile vidada vyenu hata sivielewi,hivi hii thread mlianzisha kutusanifu ama?? Naelekea kupigwa ban hapa kutokana na kushindwa kuvumilia upumbavu wenu, rejesheni hela yangu kwenye MPESA nimechoka, Hivi hamuoni watu sasa hivi wanavyoishi chini ya dola moja halafu nyie mnakalia 193,500 zangu kivipi? Nimeandika sana na nimevumilia sana na hao TCRA naona hawasaidi wanajinadi hamna kitu
 
Bola wenzang muongee kwa sabab hwa jamaa wameshindikana kla ninachofanya ni bre nahamia tigo ili nkajaribu
 
Back
Top Bottom