kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Kwa upande wangu wameniboa sehemu moja nene tu.Wanajamiii forum
Miezii kama miwilii nimeenda ofisi za vodacome nikanunua modem ya Vodacome nikijua kwamba yaweza kunisaidia kwa shighuli za kiofisiii
Lkn nimejitaaa kununu ya huu.mtandao kwani mambo yamekuwa sivyoo
Toka mwezi wa tatuu nanunua bandle la mwezii alafu linaisha buta data sipatii wala nini
Nimeamua niweke chiniiii tuuu sasa maana kazi haziendiii
Najua wahusika mmo humuhumuu
Mnakeraa nyinyii vodacom na mibandle yenuuu kaeni tuuu
Muwaachie makampuni mengine shughuli ya kutoa data mfanaye kutengeneza kupiga na kupigiwa tuuu
Maana hamna lolote mnalowezaaa
Mkuuu hawa watuuu hamna kituuKwa upande wangu wameniboa sehemu moja nene tu.
Nilikua na ofa inayoitwa "YA KWAKO TU" ambapo kwa takribani mwaka mzima nimekua nalipa 2000/- kupitia *149*03# napata GB 3 kwa siku tano ambazo zilikua mujarabu kabisa kwa matumizi yangu ya data. Kwa sasa wameondoa na kupandisha bei. Wameniboaje?
Wehu sana waleMkuuu hawa watuuu hamna kituu
Modem nimenunua ghalii bandle ghalii
Hawa watuu watufilisiii jumatatu nimepanga niende ofisi kwao huku mkoani niwarudishie modem yao
Hapoo sasa nilikuwa nawatakaa nyinyiNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Nilinunua modem toka January ilikuwa inafanya kazii vizuri tuu hukuu manyara mkoaniiNdugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Hao ndio kabisa nimeenda kwao wananiambia sisi hatuna matechinical hadi tuagizee kutoka mkoa flaniiNjoo nyumbani na TTCL
Mkuu usipofuatilia hili itakula kwako ...kuwa makini mkuu hela yako itakwenda bure.Mimi nilinunua hisa ya Vodacom lakini mpaka sasa sijapata mrejesho wowote kuhusiana na hisa yangu.
Ninawazo la kurudisha cheti chenu mnipe changu.
Huu ni mwaka tangu mmetuingiza chaka pesa yangu mnaizalisha faida kwenu mimi sipati chochote naomba mnipe maelekezo wapi nije kudai amana yangu niliyowekeza.
Asante mkuuMkuu usipofuatilia hili itakula kwako ...kuwa makini mkuu hela yako itakwenda bure.
Nenda Vodacom
cc: Vodacom TanzaniaMkuu usipofuatilia hili itakula kwako ...kuwa makini mkuu hela yako itakwenda bure.
Nenda Vodacom
Habari yako kaka Mwalla,nami nilikuwa nataka kununua izo hisa za vodacom,kwani mwanzo ulizinunua kwa kiasi gani na pia kama utaziuza utaziuza kwa kiasi ganiMimi nilinunua hisa ya Vodacom lakini mpaka sasa sijapata mrejesho wowote kuhusiana na hisa yangu.
Ninawazo la kurudisha cheti chenu mnipe changu.
Huu ni mwaka tangu mmetuingiza chaka pesa yangu mnaizalisha faida kwenu mimi sipati chochote naomba mnipe maelekezo wapi nije kudai amana yangu niliyowekeza.
Mpaka nijue soko la hisa limesimamia ngapi ndo ntakwambiaHabari yako kaka Mwalla,nami nilikuwa nataka kununua izo hisa za vodacom,kwani mwanzo ulizinunua kwa kiasi gani na pia kama utaziuza utaziuza kwa kiasi gani