kibori nangai
JF-Expert Member
- Jan 14, 2015
- 1,430
- 2,130
Wanajamiii forum
Miezii kama miwilii nimeenda ofisi za vodacome nikanunua modem ya Vodacome nikijua kwamba yaweza kunisaidia kwa shighuli za kiofisiii
Lkn nimejitaaa kununu ya huu.mtandao kwani mambo yamekuwa sivyoo
Toka mwezi wa tatuu nanunua bandle la mwezii alafu linaisha buta data sipatii wala nini
Nimeamua niweke chiniiii tuuu sasa maana kazi haziendiii
Najua wahusika mmo humuhumuu
Mnakeraa nyinyii vodacom na mibandle yenuuu kaeni tuuu
Muwaachie makampuni mengine shughuli ya kutoa data mfanaye kutengeneza kupiga na kupigiwa tuuu
Maana hamna lolote mnalowezaaa
Miezii kama miwilii nimeenda ofisi za vodacome nikanunua modem ya Vodacome nikijua kwamba yaweza kunisaidia kwa shighuli za kiofisiii
Lkn nimejitaaa kununu ya huu.mtandao kwani mambo yamekuwa sivyoo
Toka mwezi wa tatuu nanunua bandle la mwezii alafu linaisha buta data sipatii wala nini
Nimeamua niweke chiniiii tuuu sasa maana kazi haziendiii
Najua wahusika mmo humuhumuu
Mnakeraa nyinyii vodacom na mibandle yenuuu kaeni tuuu
Muwaachie makampuni mengine shughuli ya kutoa data mfanaye kutengeneza kupiga na kupigiwa tuuu
Maana hamna lolote mnalowezaaa