Vodacom Tanzania
Official Account
- Aug 12, 2013
- 324
- 126
- Thread starter
-
- #1,761
Habari Franakim, tumeshawasilisha suala hili kwa mafundi wetu kwa utatuzi. Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.Mtandao wenu hapa Kinyerezi upo chini sana, kupiga simu ni kwa shida, internet ndio kabisa huwezi kufanya chochote. Njoni mshuhudie wenyewe kwani nimekuwa natoa taarifa hizi mpaka nimechoka sasa imebidi niwahame. Ukiwa Kinyerezi mwisho ukielekea kaskazini mashariki kilometa 1 tu unapoteza mawasiliano. Kwanini msijenge mnara eneo hili? Kitu gani kinawashinda, mbona tigo, airtel wote wana minara eneo hili. Chukueni hatua, mnapoteza sana wateja eneo hili
Habari Gamba, hili hutokea endapo mteja ametumia Intaneti bila kuwa na kifurushi na ameacha pages ziko wazi kisha anajaribu kujiunga na kifurushi, katika hali hii inakuwa kwamba simu inasync mtandaoni hivyo salio hilo hilo haliwezi kukubali kujiunga. Anachotakiwa kufanya ni kuhakikisha amefunga pages zote au kufunga huduma za Intaneti ''Mobile Data'' ajiunge kisha afungue baada ya kununua kifurushi. AhsanteHili la VODA KUKATAA kuweka bando ya SH 1000 (INTERNET BILA KIKOMO) WAKATI HIYO PESA IMO INASHANGAZA KWELI
Habari Franakim, tumeshawasilisha suala hili kwa mafundi wetu kwa utatuzi. Tunaomba radhi kwa usumbufu unaojitokeza.
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
tunauliza maswali hapa mnajibu baadaya mwezi hii thread si muondoe tu ijulikane kuliko ubabaishaji
wakuwekee alert wakose kukuibia?Kwanin msiweke alert ya kumjulisha mtu kama salio limeisha??? Na msilete siasa za haiwezekan..mbona tigo wanajulisha zikiwa zimebaki 2MB!!! Au nyie mnaleta UJAMBAZI TU??
jina: Frank john ngowi
tin:.116-495-104
lessen ya biashara:b01496459-namba ya stakacth 0178618
kitambulisho namba. D 0317653
store no: 072481
till no. 221135
mgt:221157
jina la wakala mkuu: Manyika ezekiel mboya (0762913448)
vilevile nilikuja vodacom mliman city tarehe 25/09/2014 huyo anaetumia line yangu akambiwa atoe fetha zake mpaka tarehe 1/10/2014 nirudi tarehe 4/10. Leo anapigiwa simu anasema hajapigiwa. Haki zetu ziko wap usoni mwa vodacom??
Rudishen hela yangu nkatafte huduma kwingine kabla vibanda havijafungwA na Wapuuzi wenzenu tanesco hawajakata umeme nikashindwa kunyosha nguo za kaxini Masaa mawili yanakaribia ntawasue hamnipi Huduma na hela hamrudishi