vodacom siipend na ndo maana nshaacha kutumia,,,,,,mnakatabia ka kukata salio bila xababu za mcng watu wakiuliza mnawacngizia either wamejiunga na huduma ya caller tunes na wakat yy hajajiunga naapengne mmemuonganxha wenyewe na ama anatumia huduma za kibenki na wakati mtumiaj hajaanza kutumia hduma hyo leo,,,,katika yote jitahd kuiga tigo na airtel katika huduma za kibenki kuangalia salio c lazma uwe na hela kwenye cm ,,,,kuhamsha napo,