Munabusule
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 976
- 491
Mtandao wa Vod COM kwa siku za karibuni umekuwa hauaminiki tena kwani makato yamekuwa yakibabe bila kujali customer care, mteja akiweka salio anaahidiwa zawadi lakini cha ajabu zawadi ya salio inakuwa adhabu kwani wanakati kwa speed mbaya.
Tunaomba mlioko VODA mtambue tunaumia sana kwa makato haya yasiyo na huruma kwa mteja
Tunaomba mlioko VODA mtambue tunaumia sana kwa makato haya yasiyo na huruma kwa mteja