Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Yani hawa jamaa ni wa.se.nge. sana kwanza kale kakifurushi ka 600 wamekapunguzia dk frm 20 dk mpka 15 na mb zimepungua mpka 70 bila hata taarifa.
 
voda ni wezi lkn mtandao wao uko bomba. nilihamia airtel. yaani kusoma gazeti ni majanga. lkn voda kama nacheza vile
 
kuna kaushamba ka kutumia smartphone ukiweka vocha bila kifurushi afu umejiunga facebook twitter whatsapp na mail unaliwa vocha kadri mb zinavyohesabiwa. dawa yake unga kifurushi tuu
 
Leo asbh nimeweka kiasi cha tsh 3500 nimejiunga bundle ya 3499 ya wiki ili nipate dk60 na mb200 chakushangaza napata ujumbe.

Salio langu halitoshi kujiunga....nikicheki salio *102# naona nina 3504.99 sasa nauliza inakuwaje nyie vodacom...

KUANZIA LEO NAHAMA KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA NAHAMIA KULE TIGO MINI KABANG SITANUNUNUA TENA VODA YENU.


TCRA MNAFANYA KAZI GANI JAMANI...JUZI NAPO WAMENIIBIA 500 SIJAPIGA WALA KUPOKEA WALA KUTUMA UJUMBE NA SIMU YANGU SIO SMARTPHONE.
 
Nashangaa kwa nini wamepunguza dk 65 kuwa dk60 na MB300 kuwa MB200
 
Hata tigo wezi pia jana nimejiunga bb patupu mpaka leo nimeweka line ya voda

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Voda wanakera sana aisee, tena ni wizi wa wazi wazi, jana usiku nimeweka salio la 2000, then nikaactivate bandle ya 500tsh ya 200 MB, hata kufungua google ilichukua zaidi ya nusu saa. Baada ya kutuma mail nikatoa modem, naangalia salio nakutana na sh 0, na bandle nayo ni 0...f*ck.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
TCRA hawatusaidiiiii ifutwe tu. Haya makampuni wanatuibia sana hata siwaelewi na system zao
 
Voda wanakera sana aisee, tena ni wizi wa wazi wazi, jana usiku nimeweka salio la 2000, then nikaactivate bandle ya 500tsh ya 200 MB, hata kufungua google ilichukua zaidi ya nusu saa. Baada ya kutuma mail nikatoa modem, naangalia salio nakutana na sh 0, na bandle nayo ni 0...f*ck
Sio siri,hawa jamaa ni kichefuchefu....yani kufungua google ni ishu.:angry::angry::angry:
 
Sasa wewe jitie wa.zimu uhamie AIRTEL utajuta kununua simu. jitahidi ubaki VODACOM au sana sana hamia mtandao wa matuc yaani. 0713. huku spidi iko nyuma ya VODACOM ila usihamie airtel hata iweje.
 
Habari Easymutant mara nyingi hii hutokea pindi mteja anapokuwa amejiunga na zaidi ya kifurushi kimoja hivyo kifurushi cha awali kinapokwisha mteja anadhani ni kifurushi kipya alichojiunga nacho. Inapotokea hali hii tafadhali piga *147# kuangalia salio. Tunaomba namba yako ya simu PM kwa msaada zaidi.
Alafu mnakera sana nyie,meseji unatuma leo inafika kesho..kama hamuwezi kutoa huduma bora muache tujue hampo kabisa...
Pengine kungekua na utaratibu wa kuwatoza faini kutokana na usumbufu mngeshika adabu na kujua nini mnakifanya.
 
Mm nimeibiwa sana ila nimeshahama niko TIGO ss, hawa Voda ni wezi balaa...sijui kwa nn wanafanya hivi!
 
Leo asbh nimeweka kiasi cha tsh 3500 nimejiunga bundle ya 3499 ya wiki ili nipate dk60 na mb200 chakushangaza napata ujumbe.

Salio langu halitoshi kujiunga....nikicheki salio *102# naona nina 3504.99 sasa nauliza inakuwaje nyie vodacom...

KUANZIA LEO NAHAMA KABISAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA NAHAMIA KULE TIGO MINI KABANG SITANUNUNUA TENA VODA YENU.


TCRA MNAFANYA KAZI GANI JAMANI...JUZI NAPO WAMENIIBIA 500 SIJAPIGA WALA KUPOKEA WALA KUTUMA UJUMBE NA SIMU YANGU SIO SMARTPHONE.

Bora yako kaka mm. Natumia BB najiunga bando ya BB ya siku ya 500 na net inakua poa kabisaa akin nkieka vocha nakatwa kidogo kdogo yaan baada ya saa kama umeweka 500 utakuta 300 ukiwapigia eti wanasema zima data
Huu ni WIZI tokea lini BB ikatumia ela kwenye net na hata kama ikitumia ilo bando la BB nlilo jiunga je??? Y wakate ela yangu

WEZIIiII
 
kuna siku niliwapigia nikawauliza wakanijibu kuwa internet iko ON, nikiweka 1000 nashindwa kujiunga na kifurushi cha 864 wanataka hela inayobaki izidi 150! yani wanakera sana.
 
Back
Top Bottom