Smiller
Senior Member
- Feb 10, 2014
- 181
- 41
Jamani hapa nilipo nacheka eti VODACOM NJOO UJIBU!
Usicheke mkuu nipo serious!! Maana kwanza hata sielewi huyu VODACOM ni Mtu binafsi au Company !!
Naona Kama wamesha vimbiwa wateja! Nakama ndivyo basi watuambie. Mie juzi tu nimepoteza simu nimeenda ku Re-new line wakaniambia after 3 hours itakuwa on Air cha ajabu mpaka mchana huu naambiwa eti kuna tatizo la Network kwenye huduma ya m-pesa ndio maana bado hawajakamilisha kuirudisha!!
Huu ni Uhujumu! Masaa almost 32?? I'm Fade Up.