Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Voda ndio imekuwa mkombozi wangu kwa sasa.

Hao airtel nimeunga kifurushi cha wiki nimetumia siku 2 tu na hakuna net tena.

Ili kufidia, nimemalizia dakika zao kwanza, halafu nimekopa cha wiki kingine, kisha nimemaliza dakika halafu nimehamia voda na virago vyangu mazima manina zao hawa wanajiita babu lao hawana hata mwakilishi kwenye social network muhimu kama hizi.
 
Kwa wanaotumia windows phone
------------------------------
1. Manual Guide
2. Select "Settings" > "access point" > "add" > "Connection name"
3. Enter Tigo WAP
4. Select "Access point name"
5. Enter tigowap
6. Select "Proxy address / WAP gateway (URL)"
7. Enter 10.168.20.80
8. Select "Proxy port"
9. Enter 8080
10. Select "ok"
11. Enter Tigo WAP

mkuu kwa muongozo Wako Ni me set simu ya mzee internet imekubal ,shukrani mkuu
 
Habari zenu wanajamvi popote pale mlipo, Hoja yangu leo ni huu mtandao wa Vodacom Tanzania (Vodacom Tanzania). Mimi ni mteja wa mtandao huu wa vodaCOM toka muda mrefu sana nimekua nikiupenda sana kutokana na huduma zake za internet lakin sasa hiv nadirik kusema ipo siku nitauchukia kutokana na huduma zake.

Vodacom Internet kwa sasa imekuwa kero sana kwangu yaan toka week mbili zilizopita napata shida nikijiunga na vifurushi vya internet kwa ajili ya kazi zangu pamoja na kudownload documentaries, movies na mambo mengine mtandao umekuwa slow sana unakuta speed iko chini ya 20kb/sec kila siku, nikajua labda ni kutokana na eneo nililopo labda kwamba ni bondeni au labda mida ya mchana watu wapo wengi sana wanaotumia so nikawa nakaa had saa saba usiku ili speed iongezeke but speed haiongezeki.

Nikaona isiwe tabu nijaribu mtandao mwingine nikakuta hali ni tofauti kabisa speed ni 150 - 200 kb/sec, leo nimejiunga tena imebidi nije nifanyie kaz zangu posta but sioni mabadiliko yoyote hali ni ile ile 20kb/sec sasa nashindwa mim kuwaelewa hawa Vodacom Tanzania kwa huduma zao.
Ushauri wangu kwa Vodacom Tanzania ongezeni bandwidth za mtandao wenu ili muweze kunishawishi nijiunge na vifurushi vyenu. "WATEJA WANAVYOONGEZEKA ONGEZENI NA HUDUMA ZENU VODACOM TANZANIA"
 
Habari zenu wanajamvi popote pale mlipo, Hoja yangu leo ni huu mtandao wa vodacom (Vodacom Tanzania). Mimi ni mteja wa mtandao huu wa vodaCOM toka muda mrefu sana nimekua nikiupenda sana kutokana na huduma zake za internet lakin sasa hiv nadirik kusema ipo siku nitauchukia kutokana na huduma zake. Vodacom Internet kwa sasa imekuwa kero sana kwangu yaan toka week mbili zilizopita napata shida nikijiunga na vifurushi vya internet kwa ajili ya kazi zangu pamoja na kudownload documentaries, movies na mambo mengine mtandao umekuwa slow sana unakuta speed iko chini ya 20kb/sec kila siku, nikajua labda ni kutokana na eneo nililopo labda kwamba ni bondeni au labda mida ya mchana watu wapo wengi sana wanaotumia so nikawa nakaa had saa saba usiku ili speed iongezeke but speed haiongezeki. Nikaona isiwe tabu nijaribu mtandao mwingine nikakuta hali ni tofauti kabisa speed ni 150 - 200 kb/sec, leo nimejiunga tena imebidi nije nifanyie kaz zangu posta but sioni mabadiliko yoyote hali ni ile ile 20kb/sec sasa nashindwa mim kuwaelewa hawa Vodacom Tanzania kwa huduma zao.
Ushauri wangu kwa Vodacom Tanzania ongezeni bandwidth za mtandao wenu ili muweze kunishawishi nijiunge na vifurushi vyenu. "WATEJA WANAVYOONGEZEKA ONGEZENI NA HUDUMA ZENU VODACOM TANZANIA"
Mkuu wapo humu wataku-PM ili kusaidia tatizo lako,mimi pia majuzi tu niliweka uzi kuhusu internet yao kusumbua na walishughulikia sipati tena tatizo hilo.

Big up Jamii Forums, Big up Vodacom maana sidhani kama kuna mtandao mwingine upo humu jamii forums kwa ajili ya kutatua matatizo ya watumiaji/Wateja
 
Mkuu wapo humu wataku-PM ili kusaidia tatizo lako,mimi pia majuzi tu niliweka uzi kuhusu internet yao kusumbua na walishughulikia sipati tena tatizo hilo.. Big up Jamii Forums, Big up Vodacom maana sidhani kama kuna mtandao mwingine upo humu jamii forums kwa ajili ya kutatua matatizo ya watumiaji/Wateja

Ningefurahi kama wanasoma kilio changu na kunitatulia tatizo coz napenda kutumia mtandao huu
 
Nashukuru Vodacom Tanzania wameona tatizo langu wameni PMniwatumie number yangu nafikiri wanashughulikia tatizo
 
Vodacom’s Head of Marketing and Communication, Kelvin Twissa! 'TAFADHARI NJOO UTATUE MATATIZO YA WATEJA WAKO...!'
 
Fikiria mtu unatuma/kutumiwa sms alafu hazifiki kwa wakati. Hivi hii tabia ya huu mtandao kujiona sana kiasi cha kudharau hata malalamiko ya wateja ina sababishwa na nini hasa?

Alafu kitu kingine nmegundua Vodacom ukiwa maeneo ya mjini hasa posta network hasa upande wa internet inasumbua sana!
Hiki kiburi chenu kiwe na mwisho!
 
Bora ww speed ndogo mm nimejiunga kifurushi cha 1000 bila kikomo haijaisha masaa 2 naambiwa kimeisha noka ninua cha mb200 yakawa ndiyo majanga kwani ckumaliza kuchart naambiwa kifurushi kimeisha nikaamua kuwapigia voda nikaambiwa ninunue kifurushi kinachonikidhi yaani cha gharama nyingine
 
Fikiria mtu unatuma/kutumiwa sms alafu hazifiki kwa wakati. Hivi hii tabia ya huu mtandao kujiona sana kiasi cha kudharau hata malalamiko ya wateja ina sababishwa na nini hasa?

Alafu kitu kingine nmegundua Vodacom ukiwa maeneo ya mjini hasa posta network hasa upande wa internet inasumbua sana!
Hiki kiburi chenu kiwe na mwisho!

rafiki usilalamike, just abandone the blood hopeless thing!
 
bampami ;;; ukiona mtu/kampuni ina dhararu/kiburi ujue kuna kitu ana/inachojivunia.

cc😡vodacomtz

pokeeni ujumbe huo kwa mtazamo yakinifu kuwa sisi baadhi ya wateja wenu tumechoka na dharau na kiburi chenu.
 
Nafikri kuna serious issue hapa maana mimi last week niliweka 5000 na ghafla ikaisha sijafanya chochote nawapigia wala sikupata msaada, kwa sasa naogopa hata kununua package za zaid ya 1000 maana speed inaboa sijui niielezeje.

Voda naomba msaada pia 0764800989
 
Kua km mm nalaini nne sasa hivi natafuta ya smart chip ikixingua mtandao huu natoa naeka nyengine
 
Back
Top Bottom