inaelekea mnara wenu Kinyerezi mwisho una matatizo au haufanyi kazi au labda eneo lile hamna mnara labda tunahudumiwa na mnara wa mbali sana. Mawasiliano kwa ujumla ni mabaya sana, kupiga simu shida wakati wowote mnara unashuka na simu inakatika, wakati mwingine mtu wa upande mwingine humsikii. Kwa upande wa internet ndio balaa kabisa, yaani huwezi kufanya chochote. Mbona tigo na airtel haina shida yoyote nyie kitu gani kinawashinda? Namba yangu ndio ninayotumia na inayofahamika na wengi lakini nyie mnanilazimisha niitoe kwrnye simu niweke airtel au tigo