Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
nyie vodacom ni wezi kabisa
Hii inawezekana,
Ukienda kwenye Mpesa ukaomba kutumiwa mini-statement ili uangalie movement ya akaunti yako hawakupi, bali wanatoa salio (final balance) tu, kwanini watufiche?
Halafu huyu anaejibu hapa aache kutoa General Answers kwenye specific na technical problems, majibu anayoyatoa hata Mimi mtu baki ningeweza kuyatoa tu hata kama Siijui Vodacom!