Vodacom Tanzania
Official Account
- Aug 12, 2013
- 324
- 126
- Thread starter
- #2,061
Vodacom,
Mwenzenu nimeenda kimasomo nje kidogo ya nchi, sijaitumia voda yangu toka tarehe 25/05/2014.
Nategemea kumaliza masomo mwisho wa mwezi wa kwanza 2015.
Je nitaikuta line yangu hai??
Habari Jebs2002, jitahidi kuwa unaitumia kwa angalau mara moja katika mwezi, unaweza kutuma japo meseji moja tu. Hii husaidia kutofutwa.