Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Hizi sms za kushinda 2,000,000 au 5,000,000 zinazotumwa mara kwa mara kutoka mtandao wa vodacom mimi zimenichosha naomba wahusika wasitishe kwani zinaniletea usumbufu sana. Kwa siku wanatuma zaidi ya mara 5. Mimi sijawahi kuomba kuunganishwa kwenye hiyo namba ili kuingia kwenye mashindano yao.
Hii tabia ikiendelea nitaishitaki kampuni kwa kunisababishia usumbufu wa kisaikolojia. Mimi sina hela lakini sitaki mashindano ya kulazimishwa eti mara "mwenye namba 075******* utajipatia 200000000 au Sio ya kukosa: 075******hii ni kamata mpunga ya vodacom. Tuma neno GO kwenda namba 15544 na unaweza kushinda 5,000,000 Kila watuma nafuta lakini baada ya muda kidogo wanatuma tena.
Mtatusababishia ajali jamani
Hii tabia ikiendelea nitaishitaki kampuni kwa kunisababishia usumbufu wa kisaikolojia. Mimi sina hela lakini sitaki mashindano ya kulazimishwa eti mara "mwenye namba 075******* utajipatia 200000000 au Sio ya kukosa: 075******hii ni kamata mpunga ya vodacom. Tuma neno GO kwenda namba 15544 na unaweza kushinda 5,000,000 Kila watuma nafuta lakini baada ya muda kidogo wanatuma tena.
Mtatusababishia ajali jamani