Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kweli bundle la 2500 1.2gb linaisha fasta tofauti na cku za nyuma
Sent from my SM-G950U using Tapatalk
Nenda polisi maana jamaa anaweza akafanya uhalifu huko utaenda kuungana na akina Seth na Rugemarila pale Segerea.Vodacom mmenisajili special number halafu sikufanikiwa ku activate hyo number ndani ya masaa 24 mkampa mtu Mwingine hlo halina tatizo
Shida inakuja mmempa huyo mtu Mwingine number na anaitumia ikiwa na majina yangu na nimesajili kwa kitambulisho changu Cha taifa
Nimewafuatilia Basi muondoe Hilo jina langu mnanizungushaaaa
Shida Ni Nini?na huyo anakiri kuwa anatumia namba yenye jina langu na hate Mpesa hawez kutumia kwa sababu mm nduo mwenye pass word
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawajalipwa mishahara ndio maana wanajibu pumbaJamani customer care Vodacom wana matatizo gani? Hawapatikani ..nimetumia vodacom kwa miaka mingi lakini sasa naona nashindwa.
Nimeshakwenda polisiNenda polisi maana jamaa anaweza akafanya uhalifu huko utaenda kuungana na akina Seth na Rugemarila pale Segerea.
Shauri yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asunuhi kuna kihuduma chao wanakupa MB50 na dakika 5 kuanzia saa 12 asubuhi mpaka 3 kamiliHivi wenzenu wanatoa fb bure na picha juu kwa mb 50 every. Day for everyone so why don't you offers us the same like your mate company?
Ntawagunya tena kama nilivyofanya mwaka 2001 try to take my advice
Washamba sana hawa namba yangu ni hii 0757575569 mkitaka nifungieni ***** huu si upuuzi sasa nuache kufanya kazi nihangaike na huo ushenzi lijamaa la masoko ni lishamba sanaAsunuhi kuna kihuduma chao wanakupa MB50 na dakika 5 kuanzia saa 12 asubuhi mpaka 3 kamili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe mimi hiyo laini mkuu.Washamba sana hawa namba yangu ni hii 0757575569 mkitaka nifungieni ***** huu si upuuzi sasa nuache kufanya kazi nihangaike na huo ushenzi lijamaa la masoko ni lishamba sana
Chukua tuu mkuu na ina alama ya vidole tayariNipe mimi hiyo laini mkuu.
Nimependa mpangilio wa namba maana ni rahisi kuzikariri
Sent using Jamii Forums mobile app