Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Nilikua naipenda voda Sana.Juzi niliweka muda wa maongezi 2000 na sikujiunga na kuamka ipo 1300.Nikitaka kufanya huduma za Mobile kiganjani ati uweke salio na wakati Airtel ni free.Daah piga chini !!!!!,View attachment 1371003
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulipoanza Kuutumia Mtandao wa Vodacom ulituambia ( ulitushirikisha ) hadi leo hii unauhama rasmi ndiyo unatushirikisha hivi?