Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Sidhani kama mko serious na kuboresha huduma zenu. Nitakuwa mpole kurudia hoja zilizosemwa na watu wengi hapa:

1. Gharama zenu za bandle za internet ni kubwa sana - japo serikali ilisema mtazishusha mmekataa. Kmf. recently mlikuwa na bandle ya 'Ya Kwako tu' kwa siku ilikuwa 1024 MB kwa Tsh. 1000 lakini sasa ni elfu 2. elfu moja unaweza kupata MB 400 tu. that is a dramatic change.

2. Bandle zenu zinaisha haraka sana as if kuna mtu Vodacom anafanya kazi ya kuzipunguza. Jana niliweka bandle ya 2000 (1000 MB) ziliisha within 30 min. na nilikuwa siangalii movie bali news za kawaida tu za internet na video chache sana na fupi za youtube.

Watu wanaposema watahama hawatanii. Kwa mfano mimi nimedhamiria kwa dhati kuacha huduma zenu za internet. Unfortunately natumia 3G Vodafone smart tablet inayotumia line yenu tu. Nadhani kwa vile mna wateja wengi kama mimi na wengine mnadhani hakuna shida. Lakini bila shaka mtapoteza income na kibiashara sio healthy kujiamini that much! Mimi natafuta modem ya Airtel au TTCL (whatever cheaper network) ili niachane na nyinyi.

Nilikuwa natumia Airtel kwenye internet ila sasa nililazimika kutumia Voda. Aise, matumizi ya Bundle VodaCom ni kama kuna namna isiyo ya kawaida. Zinakwenda kasi mno.

Nilifanya majaribio. GB 3 Airtel na GB 3 Vodacom kwa matumizi yanayofanana na muda unaofanana, voda iliniishia haraka.

Hapa nafikiria kutafuta Line ya Airtel ambayo nitaitumia kwenye Internet tu. Ulaji wa voda sio wa kawaida.
 
Halafu huu mfumo gani wa kutoa tahadhari kuwa Bundle ina karibia kuisha? Huu ni wizi. Yaani unaniambia kifurushi kiko Less than 0 Mbs? Airtel ikifika 90% ya kifurushi wanakuambia.
Screenshot_20210520-174316.jpg
 
Vodacom mambo zenu vipi ,nilikuwa nawasalimia kwa sasa nimehamia TTCL nimerudi nyumbani kumenoga

Hata wale freelancer wenu hawatumii Voda kwa sasa wanatumia halotel na TTCL
 
Vodacom naombeni ufafanuzi. Kwa sisi ambao hatuna Mpesa App kwa sababu hatujawa tayari kuwa nayo kwa sasa.

Kuna hii unamtumia mtu pesa utaletewa message kwamba umetuma kiasi kadhaa, ukitoa pesa pia utatumiwa message kwamba umetoa.

Issue inakuja ninapotumiwa pesa mimi mtakausha hakuna message itakayokuja kwangu na hii imenitokea sio mara moja. Sasa unakuta kuna mtu anakuambia anatuma pesa unasubiri message wapi, ukimuuliza muhusika anakuambia ametuma mpaka unaamua kuangalia salio.

Utaratibu wenyewe wa kuangalia salio upo hivi, kuangalia kwa njia ya menyu ya M-PESA unakatwa Tsh 60 kwa kutumia MPESA App ni bure.

Sasa najiuliza ni kwamba hamtumi sms kwa maksudi ili tukereke tuamue kudownload MPESA App lengo lenu litimie ama ni nini tatizo.
Hivi mnajua hizo Tsh 60 tunazionea uchungu au mnaona Tsh 60 sio hela.

Naomba uongozi wa Vodacom uliangalie hili. Tunakereka kwa kweli, sote ni wateja hata kama hatujawa tayari kutumia App kwa sasa msitulazimishe kwa njia hiyo. Tutatumia tukipenda wenyewe.

Nawasilisha
 
Mkuu naomba niseme SMS zinatumwa. Ila kuna shida kwenye Push Sms kama haupo online msg huwa haijitunzi ili ije baadae.
 
Nilikuwa natumia Airtel kwenye internet ila sasa nililazimika kutumia Voda. Aise, matumizi ya Bundle VodaCom ni kama kuna namna isiyo ya kawaida. Zinakwenda kasi mno. Nilifanya majaribio. GB 3 Airtel na GB 3 Vodacom kwa matumizi yanayofanana na muda unaofanana, voda iliniishia haraka. Hapa nafikiria kutafuta Line ya Airtel ambayo nitaitumia kwenye Internet tu. Ulaji wa voda sio wa kawaida.
Umejaribu kulinganisha kiasi cha data MB/GB kilichopimwa na kifaa chako kikawa ni tofauti na kile kinachopimwa na Airtel/Vodacom?

Kwenye simu/tablet kuna sehemu ya kukagua matumizi ya data (mobile data usage) au unaweza kupakua app inayoweza kukupa summary kwa urahisi. Kisha ukakuta data inayooneshwa na simu na iliyopimwa na mtoa huduma ni tofauti hapo ndipo unaweza kung'amua tatizo.

Mfano: Umejiunga kifurushi cha 1GB kisha kwenye matumizi yaliyopimwa na simu/tablet yako yakaonesha umetumia 700MB ila unaletewa taarifa kuwa kifurushi chako kimekwisha utakuwa takwimu ya kuhoji kuwa 300MB zimepotelea wapi?

Kigezo cha uharaka wa data kuisha kinaweza kutegemea sana kasi ya mtandao. Mtandao unaosumbua ulaji wake wa data ni mdogo pia!
 
Juzi niliweka hela Mpesa kwa Agent message ilirudi kwa agent haikurudi kwangu. Ninayo Mpesa app ikabidi niangalie kupitia App naona salio limesoma.

Toka juzi Hadi Leo sms haijaingia bado na sio Mara ya kwanza hata nikitumiwa hela mpaka niingie kwenye App ndo ntaona salio.

Vodacom acheni ushenziiiii
 
Juzi niliweka hela Mpesa kwa Agent message ilirudi kwa agent haikurudi kwangu. Ninayo Mpesa app ikabidi niangalie kupitia App naona salio limesoma.

Toka juzi Hadi Leo sms haijaingia bado na sio Mara ya kwanza hata nikitumiwa hela mpaka niingie kwenye App ndo ntaona salio.

Vodacom acheni ushenziiiii

nikutumie sh. ngapi mpenz tutest kama SMS zimekaa sawa
 
Sasa kama unatumia simu ya tochi hiyo app unatoa wapi waache hizo!
 
Vodacom takataka kabisa, yaani mtu anapiga simu from no where kunifungia huduma za mpesa na nyie mnakenua meno na visamvu vyenu kwenye meno mnaifunga kweli! Takataka
 
Vodacom takataka kabisa, yaani mtu anapiga simu from no where kunifungia huduma za mpesa na nyie mnakenua meno na visamvu vyenu kwenye meno mnaifunga kweli! Takataka

Me pia ni mdau wa voda na mfanyabiashara ila kwenye hili wanafanya ujinga
Kama mtu amepiga sm kudai lain ifungwe ametuma kimakosa why wasinipigie na mm na kutuunganisha ukweli uwe wazi ndo wafunge line
Mijitu inaagiza mizigo mkoa inalipa na kupiga sm hela irudishwe voda wanakimbilia kufunga line
***** zenu
 
Back
Top Bottom