Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Ni kweli kabisa mkuu vijamaa ni vijizi sana mimi niliweka 15000 hazikuisha dakika tano kucheki salio nakuta sifuri nikawapigia simu wanasema ni kweli wanaona nimeweka lakini mtandao hauonyeshi zimeenda wapi mpaka leo hewa wakaja kunipiga tena 10000 uuuuuwiiiiii noma nikikumbuka pesa zangu

HIYO kweli hata Mimi nililiwa 20000 huku siamini amini hivi,, nilikuwa nataka kujiunga na cheka ya wiki kwenye smartphone wakalamba pesa kabla sijajiunga nikaweka tena wakakomba salio lote nikahama kutumia Vodacom kwa muda..
 
Da kila kituu wizi bt hata huu mtandaooo waa... unaweka vocha yani from no wea Haooo wanakata.. Wanatajirikia kupiti ss

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
inawezekana wewe umepoozwa tu mimi wameniibia tshs 30337 na 600mb eti wananiambia zimetumika kwenye data ndani ya saa tatu na ni kwenye simu..voda ni waizi..na ninahamia airtel..
Mkuu sijapozwa wala nini, na mimi nimeambiwa jibu hilo ambalo sasa inaelekea ni standaed answer kwa fedha zinazopotelea mtandao wa VODACOM.
 
HIYO kweli hata Mimi nililiwa 20000 huku siamini amini hivi,, nilikuwa nataka kujiunga na cheka ya wiki kwenye smartphone wakalamba pesa kabla sijajiunga nikaweka tena wakakomba salio lote nikahama kutumia Vodacom kwa muda..

tufanye maamuzi magumu.
 
Mimi ninaibiwa kila nikitaka kujiunga na bundle zao. nikinunua muda wa maongezi ile pesa inaliwa within seconds kabla sijajiunga!!!! inanibidi niongeze tena salio. Vodacom ni wezi wakubwaaaaaaa. serikali itusaidie.
 
kwa hakika vodacom ni wezi wakubwa sana hapa nchini , kila ukiweka salio likakaa muda wa masaa nane hujatumia lazima ukute limepungua au kuisha kabisa , ukiacha salio usiku asubuhi hukuti kitu,

pia ukinunua kifurushi cha kiwango chochote kile umeliwa kwa sababu internet yao haina nguvu yakukuwezesha kufanya jambo lolote .

nimewalalamikia mara nyingi sana customer care lakini hawajapata kunisaidia chochote ,nikaamua kwenda kwenye ofisi zao hawakunipa maelezo ya kuridhisha , nimedhamiria kwenda TCRA nipeleke malalamiko , kwa sasa bado nakusanya ushahidi wa wizi huu, TCRA wasipotoa msaada , kisutu watafanya kazi yao nitawaburuza mahakamani.
 
kwa hakika vodacom ni wezi wakubwa sana hapa nchini , kila ukiweka salio likakaa muda wa masaa nane hujatumia lazima ukute limepungua au kuisha kabisa , ukiacha salio usiku asubuhi hukuti kitu,

pia ukinunua kifurushi cha kiwango chochote kile umeliwa kwa sababu internet yao haina nguvu yakukuwezesha kufanya jambo lolote .

nimewalalamikia mara nyingi sana customer care lakini hawajapata kunisaidia chochote ,nikaamua kwenda kwenye ofisi zao hawakunipa maelezo ya kuridhisha , nimedhamiria kwenda TCRA nipeleke malalamiko , kwa sasa bado nakusanya ushahidi wa wizi huu, TCRA wasipotoa msaada , kisutu watafanya kazi yao nitawaburuza mahakamani.

mimi nimeamu kuhama mtandao..
 
Ahsante Sana Mkuu Lole Gwakisa kwa kutuamsha tuliolala. Mimi nimeamua kufanya maamuzi magumu ya kuachana na line yangu ya Vodacom niliyoinunua August 2001. Nabakiza simu ya 0754 kama receiver Tu majeshi yote nayahamishia 0787.

Unajua hii Vodacom inamilikiwa kwa zaidi ya 35% na Rostam pamoja na Lowassa, hawa jamaa wawili wamefuzu kama MAJIZI YA KIDUNIA ndio maana Rostam ana dola bilioni moja, majizi haya yameiweka serikali mfukoni. CCM haikubaliki jamani, tushirikiane kuitokomeza.

Ngagha fijo malafyale Gwakisa, Airtel yatosha.
 
Mimi baada ya kukosa maada hapa Arusha kuna dada anaitwa Yunis yuko Customer Care pale Block 4 Mlimani City ananiambia niende dar akanionyeshe matumizi yangu huyu dada ni -------- sija wahi ona kwanza anajifanya anajua na haki kumsikiliza mteja amebaki kungangania kuwa matumizi yako yako yametumika kwenye data eti 600mb na tshs 30337 ndani ya saa tatu, ------- zenu vodacom waizi wakubwa nyie nije dar kufatilia 30337 au nyie matahira nini mnanilipia gharama mnajua nauli ya arusha - Dar nitalala na wewe nikifika dar, nitakula kwako, nitakunywa kwako, kazi zangu huku utazifanya wewe, hivi wewe yunis unaakili kichwani kwako kweli..nimekuuliza swali dogo tu 30337 ni sawa na kb/mb/gb ngapi? + 600mb...
 
Ahsante Sana Mkuu Lole Gwakisa kwa kutuamsha tuliolala. Mimi nimeamua kufanya maamuzi magumu ya kuachana na line yangu ya Vodacom niliyoinunua August 2001. Nabakiza simu ya 0754 kama receiver Tu majeshi yote nayahamishia 0787.

Unajua hii Vodacom inamilikiwa kwa zaidi ya 35% na Rostam pamoja na Lowassa, hawa jamaa wawili wamefuzu kama MAJIZI YA KIDUNIA ndio maana Rostam ana dola bilioni moja, majizi haya yameiweka serikali mfukoni. CCM haikubaliki jamani, tushirikiane kuitokomeza.

Ngagha fijo malafyale Gwakisa, Airtel yatosha.

Mimi nilianza kutumia 1999 lakni hakuna namna nahamia airtel..
 
Mkuu sijapozwa wala nini, na mimi nimeambiwa jibu hilo ambalo sasa inaelekea ni standaed answer kwa fedha zinazopotelea mtandao wa VODACOM.

hapo Customer Care pale Block 4 Mlimani City kuna huyu Yunis -------- kweli anadha shule alienda yeye tu..
 
Uzembe wako mwenyewe afu wawalaumu voda, wakuibie wewe una nini cha kuibiwa

siyo bure una mtindio wa ubongo, na kama watanzania tuna hata 1/8 wanaoweza kuwa na mawazo kama haya basi tuna safari ndefu, jr wewe unavyojua voda huwaibia watu wa kipato kipi?
 
Hata kama umeweka data settings ON haiwezekani iliwe Buku 20 kwa mda mchache itakuwa kuna mtu wa Vodacom ana check customers walioweka Data Settings ON then anaanza kunyofoa masalio yao!

Huo ni Wizi TCRA(serikali) na Revenue Authority/Risk Management/Billing(Kampuni) ebu chunguzeni malamiko ya wateja wenu!
 
kwa hakika vodacom ni wezi wakubwa sana hapa nchini , kila ukiweka salio likakaa muda wa masaa nane hujatumia lazima ukute limepungua au kuisha kabisa , ukiacha salio usiku asubuhi hukuti kitu,

pia ukinunua kifurushi cha kiwango chochote kile umeliwa kwa sababu internet yao haina nguvu yakukuwezesha kufanya jambo lolote .

nimewalalamikia mara nyingi sana customer care lakini hawajapata kunisaidia chochote ,nikaamua kwenda kwenye ofisi zao hawakunipa maelezo ya kuridhisha , nimedhamiria kwenda TCRA nipeleke malalamiko , kwa sasa bado nakusanya ushahidi wa wizi huu, TCRA wasipotoa msaada , kisutu watafanya kazi yao nitawaburuza mahakamani.

TCRA mpo? Si mmefunga equipment zenu kwenye switch za vodacom? Huo wizi mnau-track? Kama hamuu-track basi haina haja ya kufunga equipment zing'oeni.
 
Last edited by a moderator:
Hawa voda ni vimeo sana wanakata za salio ovyo mimi yamenikuta sana kwa mfano CALL TUNE ukitaka kujiondoa haondoi kweli inakela sana
 
Kuna kitu nadhani watu wengi wanaolalamika kuwa wanaibiwa mnakosea. Kama unatumia smartphone na hujajiunga na bando la internet ni lazima pesa yako itaendelea kuliwa taratibu hadi iishe. Cha msingi kama wewe hutumii inernet nenda kwenye mobile network then iweke off! Otherwise applications ambazo zinafanyakazi katika background zitamaliza pesa yote.

Ni sawa mdau, lakini kwa elfu10 kuyeyuka ghafla hapana bhana.
 
Kweli voda ni wezi wazoefu, kuna siku nilinunua cheka, kabla dakika hazijaisha wakakata pesa,nilipoti kwao but mpaka leo hawajarudisha licha ya kuthibitisha u kweli wa malalamiko yangu.

Internet yao bom, siku ya tano sasa network shida. Nahamia.....
 
Back
Top Bottom