papiso
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 391
- 231
Mkuu papiso nimekupm tokea asubuh iyo number iliyofungwa baada ya kununua umeme wa elfu 31500 na sijaupata mpaka leo na mpaka leo number imefungiwa,nlipiga customer care nikaambiwa et imekuwa reported imeibiwa kitu ambacho sijawahi fanya mkuu.kuibiwa simu big NOOOO
Nimepokea SMS kumi na tano yako sijaiona kaka zingine nimeshazijibu na kuzitatua hiyo yako mbona simple nikiiona nitaifungua na umeme ntakurushia system haiongopi wala haifichi kitu mkuu