Airtel ndio upuuzi kbisa..customer care yenyewe ya utumbo mtupuline bei ndogo achana nao tumia airtel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Airtel ndio upuuzi kbisa..customer care yenyewe ya utumbo mtupuline bei ndogo achana nao tumia airtel
Ukanjanja upi mkuu?ni kweli sometimes tumekariri hatuna muda wa kusoma ila ukisema product mpya ni ukanjanjq mtupu!!!!!
View attachment 168205 Napenda kuja na masikitiko yangu kuhusu kampuni ya mawasiliano ya vodacom inavyotuletea usumbufu kwetu sisi wateja wa malipo ya kabla, sasa imekuwa kawaida kwa kampuni ya vodacom kubadili vifurushi vyake kila kukicha mara utakuta muda wa maongezi dakika 25 sms400 mb300 ukilala kesho utakuta dakika 22 sms500 mb150 . Leo mudawa maongezi dk 20 sms200 mb75 mda si mrefu utakuta mabadiliko tena , sasa imekuwa hatuwaelewi na ukiwapigia cm utaambiwa kuna tatizo kesho tena mabadiliko mengine ! Mi nawaambia kama mnafanya biashara kuwa serious na bizzness acheni ubabaishaji kuweni na msimano waangalie i wenzeni tigo na airtel ukuti mabadiliko kila kukicha
View attachment 168205 Napenda kuja na masikitiko yangu kuhusu kampuni ya mawasiliano ya vodacom inavyotuletea usumbufu kwetu sisi wateja wa malipo ya kabla, sasa imekuwa kawaida kwa kampuni ya vodacom kubadili vifurushi vyake kila kukicha mara utakuta muda wa maongezi dakika 25 sms400 mb300 ukilala kesho utakuta dakika 22 sms500 mb150 . Leo mudawa maongezi dk 20 sms200 mb75 mda si mrefu utakuta mabadiliko tena , sasa imekuwa hatuwaelewi na ukiwapigia cm utaambiwa kuna tatizo kesho tena mabadiliko mengine ! Mi nawaambia kama mnafanya biashara kuwa serious na bizzness acheni ubabaishaji kuweni na msimano waangalie i wenzeni tigo na airtel ukuti mabadiliko kila kukicha
voda ukiweka 5000, jua umeliwa. Nafkiri wameziset mashne zao kudetect.,kama uwa wanafidia ivi. Mie nshalizwa mara kibao. Saiv naish na mwendo wa kopa, lipa
Vodacom wamevuka kwenye wizi wako kwenye ujambazi kabisa. Shukuru wewe umepigwa buku tano tu, watu wameishapigwa hadi laki moja.
Mwizo gooooooo Vodacom
voda ukiweka 5000, jua umeliwa. Nafkiri wameziset mashne zao kudetect.,kama uwa wanafidia ivi. Mie nshalizwa mara kibao. Saiv naish na mwendo wa kopa, lipa