Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Ni kweli hayo ni maneno yangu na ni kweli yako sahihi maana huyo Kelvin Twissa umemtaja kimakosa maana hajawahi kuongoza kampuni kama VODACOM kama nilivyosema.

"Unasema taifa lina watu milioni 50 na hutaji hata mmoja aliyewahi kuongoza na kwa mafanikio kampuni kama VODACOM. Taja basi hata mmoja tuone kama wewe si mwongo na Mafuruki yuko sahihi" - Post #105

NB: Umesahahu haya ni maneno ya nani mkuu MANYUNYUYOTE ??
Umekubali kwamba hiyo ni kauli yako ?
 
Mijadala yenu inatuelimisha sana sana,endeleeni hivyo hivyo kujadiliana...pia msisahau kututajia sifa Nzuri za CEO
Halafu sisi Audience tutajaza majina ya watu...
Mfano Kiwango gani cha Elimu,fani gani,Uzoefu wa eneo lipi na muda gani,nk nk,
Halafu sisi tutajua watanzanaia wapo wa hawapo!

Cc Malcom Lumumba Manyunyuyote
"Unasema taifa lina watu milioni 50 na hutaji hata mmoja aliyewahi kuongoza na kwa mafanikio kampuni kama VODACOM. Taja basi hata mmoja tuone kama wewe si mwongo na Mafuruki yuko sahihi" - Post #105

NB: Umesahahu haya ni maneno ya nani mkuu MANYUNYUYOTE ??

Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Malcom Lumumba Manyunyu yote
 
Kwahiyo tulizima mitambo,baada ya kuchoka hela turizokuwa tunapata kwa kuuza matairi EA yote!!
Dar!! Kweli!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ike mitambo ilipitwa na wakati. Ile ni tech ya miaka ya 60's ambayo mwalimu alipewa bure na Wamarekani. Mingi ni ya kianalogia inakula umeme kama tbc taifa. Ukizalisha tyre pale bei yake haiwezi shindana na tairi ya China au India. Tatizo watu siyo wakweli wanaoiga sound kila mwaka kuwa watafufua wakati ni uongo
 
Naona umeamua kuaga baada ya kuja hoja ya uadilifu wa mtu uliemtolea mfano.

Ukiendelea kuwa na siku njema jua kwamba hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa CEO Vodacom hadi tunavoongea sasa hivi.

Kabisa kaka. Tena bahati nzuri tunaojadili humu ni sisi watanzania, tunajijua ujinga wetu. Watanzania fanyeni kazi acheni wizi na uzembe tuawaamini ndani ya miaka 15 ijayo.

Msidhani uzembe na wizi wenu tutautetea huku mitandaoni kwa kigezo cha uzawa.
 
Ukiangalia comments za watu wengine zilikuwa zinaonyesha watanzania sio waadilifu yaani janja janja nyingi.

Sasa kama hiyo ni sababu mojawapo inayotukwamisha kuukwaa u-CEO kwa nini mambo ya disciplinary hearing yasijadiliwe??

Mi naona ni sahihi kuyadili sababu yanaendena na muktadha wa kuhoji uadilifu wa mtu ambae ndio atakuja kuwa CEO.
Mkuu Wtzania ni watu waajabu sana ukiamua umpeleka katika discplinary commite atakushughurikia paka akupata hatuna element ya (proffessionalism)....kuna jama moja kwenye kampuni private alikua human resource manger 3rd in command katika kampuni hiyo alikua na tabia ya kulewa wakati wakazi na kuajili ndg zake (not competent) alipelekwa DC mara ya kwanza kapewa onyo Kali, alivo badilishwa CEO akarudia hizo tabia zake...akapelekwa tena kwenye DC jama moja akatafuta faili lake alikua amelificha kalileta for reference CEO mpya hakua anajisi zaidi ya kumpa mafao yake na ku terminate contract yake.....jama kaenda makwao Kigoma kaanza kuwa shughurikia, yule alie leta faili lake sasa hivi hatembee miguu yote inaoza lazma ikatwe yule mgine 2nd in command kavimba tumbo paka alifariki mwaka jana, CEO alikua Muhindi amerudi kwao bila sababu.....na wengine tumeacha kazi kwa Usalama wetu arafu jama anajigamba.....kwahiyo hao ndo wasomi wetu Tz ni Dr Phd bado tuna mawazo primitive licha ya kua wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa bwana mdogo Hisham Hendi. Ila huo ndio utakuwa mwisho wa career yake after three years.
Voda com dont believe that an MD will still perform after three yrs. So he shouldnt expect a contract renewal after three yrs.
Historically, the recent past two Vodacom MDs are on retirement leave.
Huwezi toka Voda ukaenda tena uswahilini kuajiriwa kama sijui meneja wa nini! Huu ndio mwisho wa career. Akitoka hapo akawe mkulima tu.
I am ferrao hakusiishiwa mkataba.. aliondoka kwenyewe kapata shavu Tigo Global
 
Ni kweli hayo ni maneno yangu na ni kweli yako sahihi maana huyo Kelvin Twissa umemtaja kimakosa maana hajawahi kuongoza kampuni kama VODACOM kama nilivyosema.
Sasa kulikuwa na haja gani ya kusema kwamba nisipende kuwataja watu wakati mwenyewe ndiyo uliyependekeza hilo wazo ??? Halafu baadae ukaja kukanusha kwamba hukufanya hivyo.

Tuko pamoja mkuu, jioni njema kwako.
 
Kumbe uelewa wako ni mdogo sana. Hujataja majina ya watanzania waliowahi kuongoza kampuni kubwa kama VODACOM kama nilivyosema.

Kinyume chake unakimbilia kutaja watoro wa kazini wakati tuna taarifa za tangu wanajiandaa kutoroka.

Sasa kulikuwa na haja gani ya kusema kwamba nisipende kuwataja watu wakati mwenyewe ndiyo uliyependekeza hilo wazo ??? Halafu baadae ukaja kukanusha kwamba hukufanya hivyo.

Tuko pamoja mkuu, jioni njema kwako.
 
Mkuu Wtzania ni watu waajabu sana ukiamua umpeleka katika discplinary commite atakushughurikia paka akupata hatuna element ya (proffessionalism)....kuna jama moja kwenye kampuni private alikua human resource manger 3rd in command katika kampuni hiyo alikua na tabia ya kulewa wakati wakazi na kuajili ndg zake (not competent) alipelekwa DC mara ya kwanza kapewa onyo Kali, alivo badilishwa CEO akarudia hizo tabia zake...akapelekwa tena kwenye DC jama moja akatafuta faili lake alikua amelificha kalileta for reference CEO mpya hakua anajisi zaidi ya kumpa mafao yake na ku terminate contract yake.....jama kaenda makwao Kigoma kaanza kuwa shughurikia, yule alie leta faili lake sasa hivi hatembee miguu yote inaoza lazma ikatwe yule mgine 2nd in command kavimba tumbo paka alifariki mwaka jana, CEO alikua Muhindi amerudi kwao bila sababu.....na wengine tumeacha kazi kwa Usalama wetu arafu jama anajigamba.....kwahiyo hao ndo wasomi wetu Tz ni Dr Phd bado tuna mawazo primitive licha ya kua wasomi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu kama huyo mwambie aanzishe kampuni yake mwenyewe uone balaa lake.

Ataishia kwenye ufugaji wa kuku tuu
 
Mijadala yenu inatuelimisha sana sana,endeleeni hivyo hivyo kujadiliana...pia msisahau kututajia sifa Nzuri za CEO
Halafu sisi Audience tutajaza majina ya watu...
Mfano Kiwango gani cha Elimu,fani gani,Uzoefu wa eneo lipi na muda gani,nk nk,
Halafu sisi tutajua watanzanaia wapo wa hawapo!

Cc Malcom Lumumba Manyunyuyote


Sent using Jamii Forums mobile app
Cc Malcom Lumumba Manyunyu yote
CEO wa safaricom hana hata diploma wala degree na anafanya vizuri..
 
View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?

Ni kampuni gani inayoongozwa na mwajiliwa Mtanzania inafanya vizuri?
 
Ni kampuni gani inayoongozwa na mwajiliwa Mtanzania inafanya vizuri?

Kaka umeuliza swali langu kivingine. Unajua siyo kwamba watanzania hawajawahi kuanzisha makampuni.

Taabu ni kwamba kwa sababu ni wavivu na wezi kampuni wanazoanzisha kwanza hata hujui fedha walizoanzishia kampuni wamekopa benki gani.

Pli wanapoanzisha kampuni si kwamba wanaanzisha. Huwa waeshasuka mpano na kampuni fulani wao wanakuwa kama agent na hivyo wanashinda tender kwa kujuana namna hiyo.

Management inapobadilika kwenye mother company huyu outsource anakufa. Ndivyo kampuni nyingi za watanzania zinavyoanza na zinavyokufa.

Ndiyo maana nikasema shughuli wanazoziweza watanzania ni hizi
Kaka,

Kumbe unawajua watzanania wlaivyo wazembe. Hata hao walioondoka kwenye hizi kampuni utadhani wamepata exposure lakini angalia shughuli wanazoenda kufanya mtaani, ni hizi nimeziorodhesha,

01: Kufuga kuku (Broiler)
02: Kufuga kuku wa mayai
03: Kufuga nguruwe
04: Kuanzisha shule za msingi
05: Kuanzisha bakery ya mikate
06: Kuuza Keki
07: Kuanzisha shule za sekondari
08: Kuanzisha maduka ya MPESA
09: Kuanzisha majengo, tena mengine yako uswahilini
10: Kufanya biashara ya kuagiza nguo toka Uganda
11: Kufanya biashara ya kuagiza msurufu toka Dubai
12: Kujenga baa za pombe
13: Kununua mabasi ya usafiri
14: Kusafirisha mazao
15: Kununua magari ya kukodisha
16: Kununua magari ya texi
17: Kutengeneza bustani za mbogamboga
 
Intelligence estimates on the Kenyan candidate did not check off.

The slightest idea of Kenyan national running a telecom behemoth did not sit well with Tanzanian officials keen on fending off a cutthroat regional rival.

The incoming Egyptian CEO does not have impressive academic or corporate credentials by any stretch, but at least you go to sleep knowing that he is not a Kenyan mole.
 
CEO wa safaricom hana hata diploma wala degree na anafanya vizuri..
Na tena sio mkenya! ndiyo waTz wajue kuwa investors yeyote makini anaangalia manager atakayeleta faida maradufu na sio habari za uzalendo, hivi kama ni uzalendo mbona makampuni meeeengi yaliyokuwa ya serikali yalikufa na tena yaliuwawa na hawahawa mameneja wa kiTz! WaTz kwa kulalamika hawajambo haya walimbania mkenya mwisho wa siku kachukua Mmisri yaani ngozi nyeusi ni sheeeeda, yaleyale ya bora tukose wote!!
 
Mkuu una hoja ila umeleta mada kishabiki sana labda nikujuze kenya tuko nao kwenye lane moja ivo hatuwezi ruhusu giant company tena plc kama voda liwe chini ya mkenya hapo ni kujivua nguo, voda inatumika sana ndani ya nchi kitendo cha kumruhusu yule mwanamama aje a lead voda ni kama kumkaribisha mgeni chumbani kwako, mimi najua misri hawayahitaji sana wakenya afu huo alieteuliwa kateuliwa tu ila bado hajapata at work permit
 
Nakuelewa vizuri ndugu yangu, nimetoa mfano huo kuonyesha kwamba kuna watanzania wenye uwezo wa kuongoza haya makampuni makubwa. Kama wako watanzania wanaongoza makampuni makubwa ya madini, sembuse Vodacom ?

Mkuu myplusbee kaelezea vizuri sana kwamba watanzania wenye utaalamu kwenye Telecom Industry wapo.

Kusema hakuna watanzania wenye utaalamu wakati yeye ni Mwenyekiti wa hiyo Board ni dharau na kiburi kwa watanzania. Ina maana Managers wote wa huko Vodacom hawana kabisa uwezo wa kuwa CEO au Managers wote wa idara ndani ya Vodacom ni wageni ? Ina maana Vodacom hakuna succession plan ?

NB: Kuna mdau nikamwabia kuna watanzania walikuwepo huko Vodacom kama Managers mfano Kevin Twisa, ambao uwezo wao ni mkubwa. Sasa unaposema hakuna watanzania wenye uwezo wa kuongoza kampuni kama Vodacom tumweleweje huyu Mafuruki ?
Unajua kuna Watanzania wa ajabu sana! Kwanza pale anayetakiwa sio mtaalamu wa telecom industry bali ni experienced person from corporate world! Hata yule dada wa Kenya ambae alipigwa chini ukiangalia historia yake amesoma BSc. Food Science & Technology na wala sio telecom lakini kwavile yupo kwenye corporate world kwa muda mrefu, hatimae aliaminika kuwa CEO wa telecom, ingawaje pia ni kweli yupo kwenye telecom kwa muda mrefu sasa kama ambavyo tulivyo na watanzania wengi tu kwenye hiyo industry hata kama sio watalaamu wa telecom. Tena watu wanasahau kwamba wakati wa competition kubwa sana nchini, ile Airtel, enzi hizo ikiitwa Celtel iliongozwa na Mtanzania! Nimemsahau jina yule mzee but for a record, ni yule mzee ambae alikuja kuwa president wa BRN/Big Results Now. Anaitwa Omar "something"!

Sasa ikiwa zaidi ya miaka 10 iliyopita tuliweza kuwa na Mtanzania aliyew kuwa CEO wa moja ya makampuni makubwa kabisa ya telecom tanzania, seuze sasa! Watu wanasahau haat ile CRDB ambayo inatoa upinzani mkubwa kwa mabenki ya kigeni, na yenyewe imekuwa ikiongozwa na Watanzania tangia uwepo wake! Sasa how come tushindwe kuwa na mtu wa kuendesha Vodacom!!
 
Intelligence estimates on the Kenyan candidate did not check off.

The slightest idea of Kenyan national running a telecom behemoth did not sit well with Tanzanian officials keen on fending off a cutthroat regional rival.

The incoming Egyptian CEO does not have impressive academic or corporate credentials by any stretch, but at least you go to sleep knowing that he is not a Kenyan mole.

You one of many who still believe that a successful company must be ran by someone with colorful academic record in his certificates. That is very outdated model and it is not the case in current corporate practice.
 
Unajua kuna Watanzania wa ajabu sana! Kwanza pale anayetakiwa sio mtaalamu wa telecom industry bali ni experienced person from corporate world! Hata yule dada wa Kenya ambae alipigwa chini ukiangalia historia yake amesoma BSc. Food Science & Technology na wala sio telecom lakini kwavile yupo kwenye corporate world kwa muda mrefu, hatimae aliaminika kuwa CEO wa telecom, ingawaje pia ni kweli yupo kwenye telecom kwa muda mrefu sasa kama ambavyo tulivyo na watanzania wengi tu kwenye hiyo industry hata kama sio watalaamu wa telecom. Tena watu wanasahau kwamba wakati wa competition kubwa sana nchini, ile Airtel, enzi hizo ikiitwa Celtel iliongozwa na Mtanzania! Nimemsahau jina yule mzee but for a record, ni yule mzee ambae alikuja kuwa president wa BRN/Big Results Now. Anaitwa Omar "something"!

Sasa ikiwa zaidi ya miaka 10 iliyopita tuliweza kuwa na Mtanzania aliyew kuwa CEO wa moja ya makampuni makubwa kabisa ya telecom tanzania, seuze sasa! Watu wanasahau haat ile CRDB ambayo inatoa upinzani mkubwa kwa mabenki ya kigeni, na yenyewe imekuwa ikiongozwa na Watanzania tangia uwepo wake! Sasa how come tushindwe kuwa na mtu wa kuendesha Vodacom!!
Kaka nilitaka kuwataja wakina Dr Kimei lakini nikaona nisiwataje tu kuheshimu faragha zao na kuepusha majungu. Kuhusu suala la DM kutoka Corporate World hilo hata mimi nimeliona sema nalo sikutaka kulisema. Unajua kipindi kile Prof Luoga amechaguliwa kuwa gavana wa BoT walilamika sana watu na kusema kwamba siyo mchumi lakini sheria ilisema mtu yoyote mwenye uzoefu na mambo ya benki ya corporate affairs.

Halafu kikubwa hii nafasi imekaa kiutawala zaidi kuliko Kiutaalamu. Yote tisa hata akitokea mtanzania mzuri bado watasema hafai. Mimi nimeamua kuwa mpenzi msomaji tu sasa.
 
Back
Top Bottom