Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Hapana kosa la Kevin lilikuwa ni kubwa zaidi ya utoro kazini, jingine kabisa. Sema kwasababu sipendi kuzungumza maisha ya watu hadharani, sitapenda kuzungumza makosa ya Kevin Twisa kwasababu sikuwepo hata anapofukuzwa na kama nikifanya hivyo yatakuwa ni majungu.

Narudia tena, kukuambia mkuu. Unapoangalia makosa ya watu wachache na kujumuisha jamii nzima ya watanzania huo siyo uungwana. Mimi hizi tabia za kuponda watanzania wenzangu kisa nafanya kazi na wazungu au nimebahatika kufika sehemu ambazo wengi hawajafika nilishaziacha kwasababu hazina faida zaidi ya kujichumia laana bure.

Kama kuna makosa yamefanyika ntajaribu kuwa Objective na ntamkosoa mtu binafsi bila kukashifu jamii nzima ya Watanzania. Uwe na siku njema mkuu, ahsante sana.
Kaka,
Unapokuja huku mitandaoni jiadhari na kutaja majina maana huui unaongea na akina nani na wana taarifa gani. Jina la Kelvin Twissa umelitaja mwenyewe na kukuambia kwamba alitoroka kazini tuna taarifa za tangu anaondoka na hata Disciplinary HEaring ilivyoenda.

Tujadili hoja tusitaje majina.
 
Mkuu mimi sitabishana na wewe, pia sitataka kutaja majina ya watu ambao hawafahamiki mbele ya hadhara. Lakini ntakupa mfano mmoja mzuri tu wa hukohuko Vodacom. Kulikuwa na watanzania kama wakina Kevin Twisa ambao nadhani ni vijana wenye uwezo mzuri sana kwenye mambo ya Telecom.

Unaposema kwamba watanzania hawana uwezo kisa hawamiliki makampuni binafsi au ukwasi mkubwa mimi hili sitalikubali hadi naingia kaburini.

Uwe na siku njema mkuu, ahsante.
Twisa ame base kwenye marketing na CEO ni zaidi ya marketing only.

Na kama ana vigezo kwa nini hayupo tena Vodacom??
 
Nakuelewa vizuri ndugu yangu, nimetoa mfano huo kuonyesha kwamba kuna watanzania wenye uwezo wa kuongoza haya makampuni makubwa. Kama wako watanzania wanaongoza makampuni makubwa ya madini, sembuse Vodacom ?

Mkuu myplusbee kaelezea vizuri sana kwamba watanzania wenye utaalamu kwenye Telecom Industry wapo.

Kusema hakuna watanzania wenye utaalamu wakati yeye ni Mwenyekiti wa hiyo Board ni dharau na kiburi kwa watanzania. Ina maana Managers wote wa huko Vodacom hawana kabisa uwezo wa kuwa CEO au Managers wote wa idara ndani ya Vodacom ni wageni ? Ina maana Vodacom hakuna succession plan ?

NB: Kuna mdau nikamwabia kuna watanzania walikuwepo huko Vodacom kama Managers mfano Kevin Twisa, ambao uwezo wao ni mkubwa. Sasa unaposema hakuna watanzania wenye uwezo wa kuongoza kampuni kama Vodacom tumweleweje huyu Mafuruki ?
Hapa nimekuelewa. Lakin je swali langu.. wanafaa. Maana kuna vitu vingi wana consider ili upate nafasi. Walia apply..? Waliitwa usahili?
Kumbuka makampun ambayo ni private huwa yanatafuta the best only.
So ishu kwamba ni mtanzania sio tatizo.. but ana uwezo? To know that nafikiri Interview ingegundua mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nafasi zilitangazwa za Directors na ndizo hizi. Hawakuomba. Walijijua ni wabovu na wakajijua wataishia kulalamika mitandaoni na baadhi yenu mtawa-support kama anavyofanya Malcom Lumumba.

Hapa nimekuelewa. Lakin je swali langu.. wanafaa. Maana kuna vitu vingi wana consider ili upate nafasi. Walia apply..? Waliitwa usahili?
Kumbuka makampun ambayo ni private huwa yanatafuta the best only.
So ishu kwamba ni mtanzania sio tatizo.. but ana uwezo? To know that nafikiri Interview ingegundua mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka,
Unapokuja huku mitandaoni jiadhari na kutaja majina maana huui unaongea na akina nani na wana taarifa gani. Jina la Kelvin Twissa umelitaja mwenyewe na kukuambia kwamba alitoroka kazini tuna taarifa za tangu anaondoka na hata Disciplinary HEaring ilivyoenda.

Tujadili hoja tusitaje majina.


Mosi, hivi aliyeomba majina ya watanzania yatajwe ni mimi au wewe mkuu ? Au umesahau hoja yako ya mwanzo kabisa ?

Pili, kwenye miiko ya kazi nadhani huwa mnafundishwa Confidentiality. Mambo ya Disciplinary Hearing ambayo yamefanyika Under Camera kuna haja gani ya kuyaanika hapa kwenye umma??

Tatu, Kevin Twissa mimi nimemtaja kama mfano wa watanzania waliowahi kuwepo Vodacom na kuonyesha uwezo mzuri. Tena nikasema "Alikuwepo Vodacom SIYO Yupo Vodacom" hayo mengine sitataka kuyazungumzia kwasababu ntakuwa napiga majungu.

I rest my case.
 
Kaka,

Kumbe unawajua watzanania wlaivyo wazembe. Hata hao walioondoka kwenye hizi kampuni utadhani wamepata exposure lakini angalia shughuli wanazoenda kufanya mtaani, ni hizi nimeziorodhesha,

01: Kufuga kuku (Broiler)
02: Kufuga kuku wa mayai
03: Kufuga nguruwe
04: Kuanzisha shule za msingi
05: Kuanzisha bakery ya mikate
06: Kuuza Keki
07: Kuanzisha shule za sekondari
08: Kuanzisha maduka ya MPESA
09: Kuanzisha majengo, tena mengine yako uswahilini
10: Kufanya biashara ya kuagiza nguo toka Uganda
11: Kufanya biashara ya kuagiza msurufu toka Dubai
12: Kujenga baa za pombe
13: Kununua mabasi ya usafiri
14: Kusafirisha mazao
15: Kununua magari ya kukodisha
16: Kununua magari ya texi
17: Kutengeneza bustani za mbogamboga
Kongole mkuu. Umeiweka point yangu kwenye maneno rahisi kabisa.
 
Kuna nafasi zilitangazwa za Directors na ndizo hizi. Hawakuomba. Walijijua ni wabovu na wakajijua wataishia kulalamika mitandaoni na baadhi yenu mtawa-support kama anavyofanya Malcom Lumumba.
Kuna kaukweli fulani. Tunaweza watetea umu but then kazi haikufuati wewe bali wewe ndio unaifuata kazi.
So hata kama una qualification lazima uende kupeleka maombi au interest zako.
Otherwise ukikaa pemben hawata ku consider

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nimekuelewa. Lakin je swali langu.. wanafaa. Maana kuna vitu vingi wana consider ili upate nafasi. Walia apply..? Waliitwa usahili?
Kumbuka makampun ambayo ni private huwa yanatafuta the best only.
So ishu kwamba ni mtanzania sio tatizo.. but ana uwezo? To know that nafikiri Interview ingegundua mengi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tusiende mbali, hivi unataka kuniambia kwamba huko Vodacom hakuna watanzania wenye uwezo wa kuwa CEO's kweli ?? Kama ni hivyo basi watanzania tutakuwa ni watu wa ajabu sana.
 
Kaka,

Kumbe unawajua watzanania wlaivyo wazembe. Hata hao walioondoka kwenye hizi kampuni utadhani wamepata exposure lakini angalia shughuli wanazoenda kufanya mtaani, ni hizi nimeziorodhesha,

01: Kufuga kuku (Broiler)
02: Kufuga kuku wa mayai
03: Kufuga nguruwe
04: Kuanzisha shule za msingi
05: Kuanzisha bakery ya mikate
06: Kuuza Keki
07: Kuanzisha shule za sekondari
08: Kuanzisha maduka ya MPESA
09: Kuanzisha majengo, tena mengine yako uswahilini
10: Kufanya biashara ya kuagiza nguo toka Uganda
11: Kufanya biashara ya kuagiza msurufu toka Dubai
12: Kujenga baa za pombe
13: Kununua mabasi ya usafiri
14: Kusafirisha mazao
15: Kununua magari ya kukodisha
16: Kununua magari ya texi
17: Kutengeneza bustani za mbogamboga
Mkuu habari za ulipo, niomba unisaidie wazo la kibiashara tofuti na hayo hapo juu ambalo litaweza kuniwezesha kumiliki soko la hapa Tanzania.
 
Pili, kwenye miiko ya kazi nadhani huwa mnafundishwa Confidentiality. Mambo ya Disciplinary Hearing ambayo yamefanyika Under Camera kuna haja gani ya kuyaanika hapa kwenye umma??
Ukiangalia comments za watu wengine zilikuwa zinaonyesha watanzania sio waadilifu yaani janja janja nyingi.

Sasa kama hiyo ni sababu mojawapo inayotukwamisha kuukwaa u-CEO kwa nini mambo ya disciplinary hearing yasijadiliwe??

Mi naona ni sahihi kuyadili sababu yanaendena na muktadha wa kuhoji uadilifu wa mtu ambae ndio atakuja kuwa CEO.
 
Hiyo habari ya kwamba Kenya waliiba mitambo General Tyre ni story story za vijiwe vya kahawa na mtu makini hutakiwa hata kuongelea hilo. Mitambo yenu ipo pale Arusha imetulia kama vitu vilivyoko museum usiwasingizie Wakenya.
Kwahiyo tulizima mitambo,baada ya kuchoka hela turizokuwa tunapata kwa kuuza matairi EA yote!!
Dar!! Kweli!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka,

Kumbe unawajua watzanania wlaivyo wazembe. Hata hao walioondoka kwenye hizi kampuni utadhani wamepata exposure lakini angalia shughuli wanazoenda kufanya mtaani, ni hizi nimeziorodhesha,

01: Kufuga kuku (Broiler)
02: Kufuga kuku wa mayai
03: Kufuga nguruwe
04: Kuanzisha shule za msingi
05: Kuanzisha bakery ya mikate
06: Kuuza Keki
07: Kuanzisha shule za sekondari
08: Kuanzisha maduka ya MPESA
09: Kuanzisha majengo, tena mengine yako uswahilini
10: Kufanya biashara ya kuagiza nguo toka Uganda
11: Kufanya biashara ya kuagiza msurufu toka Dubai
12: Kujenga baa za pombe
13: Kununua mabasi ya usafiri
14: Kusafirisha mazao
15: Kununua magari ya kukodisha
16: Kununua magari ya texi
17: Kutengeneza bustani za mbogamboga
Mmmh umetuchoka kweli.....makini unalo sema linaukweli WaTznia Wengi hawatumie ujuzi/ fani zao walizo soma kujaajili au kuendeleza maisha baada ya kuacha au kufukuzwa kazini.....imagini unakuta pro wa chuo kikuu anafuga kuku wa mayayi mualimu wa sekondary anafunga hivo hivo mualimu wa primary hivo Meneja mstaafu wa benki nayeye vile vile......inaonekana tuna kosa competence kipindi tuko kazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mosi, hivi aliyeomba majina ya watanzania yatajwe ni mimi au wewe mkuu ? Au umesahau hoja yako ya mwanzo kabisa ?

Pili, kwenye miiko ya kazi nadhani huwa mnafundishwa Confidentiality. Mambo ya Disciplinary Hearing ambayo yamefanyika Under Camera kuna haja gani ya kuyaanika hapa kwenye umma??

Tatu, Kevin Twissa mimi nimemtaja kama mfano wa watanzania waliowahi kuwepo Vodacom na kuonyesha uwezo mzuri. Tena nikasema "Alikuwepo Vodacom SIYO Yupo Vodacom" hayo mengine sitataka kuyazungumzia kwasababu ntakuwa napiga majungu.

I rest my case.
Malcom,
Ninaheshimu sana mijadala na hakuna post yangu hata moja niliyokwambia unitajie watu. Wapo waliokuomba humu nadhani umechanganya ukadhani ni mimi.

Narudia usitaje jina la mtu ukidhani tutaungana nawe katika positive way unayompa wakati watu wanajua negative way yake usiyoijua.
 
Naona umeamua kuaga baada ya kuja hoja ya uadilifu wa mtu uliemtolea mfano.

Ukiendelea kuwa na siku njema jua kwamba hakuna mtanzania mwenye uwezo wa kuwa CEO Vodacom hadi tunavoongea sasa hivi.

Ndiyo maana huyu Malcom nimemwambia asitaje majina ya watu akidhani amemwaga ugali wakati wenzake nao wanajua kumwaga mboga.

Waingereza wanasema "if you are living in glass house don't throw stones".
 
Malcom,
Ninaheshimu sana mijadala na hakuna post yangu hata moja niliyokwambia unitajie watu. Wapo waliokuomba humu nadhani umechanganya ukadhani ni mimi.

Narudia usitaje jina la mtu ukidhani tutaungana nawe katika positive way unayompa wakati watu wanajua negative way yake usiyoijua.
"Unasema taifa lina watu milioni 50 na hutaji hata mmoja aliyewahi kuongoza na kwa mafanikio kampuni kama VODACOM. Taja basi hata mmoja tuone kama wewe si mwongo na Mafuruki yuko sahihi" - Post #105

NB: Umesahahu haya ni maneno ya nani mkuu MANYUNYUYOTE ??
 
Back
Top Bottom