Vodacom-TZ Kaimu mkurugenzi apatikana

Kwa ushindani gani walionao Safaricom? Kencell

Hapa tuna ushindani wa makampuni zaidi ya manne. Small market share, kila mmoja anajitahidi kukamata soko. Kuna wakati Vodacom alikuwa na zaidi ya 40% market share leo kwa sababu ya ushindani yupo 30'

Huwezi kulinganisha na baby Safaricom
 
TZ prefers an Arab to a black Kenya ?? damn ..we did not think you hate us this much.
 
Our National Interests comes first.

Yaani Mitanganyika yote hiyo amekosekana hata mmoja, hehehe mnatia huruma. Mlimkatalia Mkenya mkisema kunao Watanganyika wenye uwezo huu, hatimaye hajapatikana hata mmoja, hivi shida huwa nini? Japo pia mfumo wenu wa elimu siwezi kuweka wanangu wautumie maana ni kuwadumaza kiakili.
 
Ni wazi watanzagiza wanaabudu rangi nyeupe.
 
Our National Interests comes first.
πŸ˜€πŸ˜€ what interests ?? ? rejecting one foreigner and replacing with another..
I thought mtapata Danganyika moja ifanye hiyo kazi ??
 

Bosi wa safaricom na KQ ni wakenya?
 
Bosi wa safaricom na KQ ni wakenya?

Sio Wakenya na hatujawahi kuzuia mtu kwa kigezo kwamba kuna Wakenya wenye uwezo huo, ni ujuha mzuie kwa kigezo cha kulinda ajira za ndani halafu hapo hapo bado apewe Mwarabu, hehehe nyie kituko.
 
Sio Wakenya na hatujawahi kuzuia mtu kwa kigezo kwamba kuna Wakenya wenye uwezo huo, ni ujuha mzuie kwa kigezo cha kulinda ajira za ndani halafu hapo hapo bado apewe Mwarabu, hehehe nyie kituko.
muachiwe tu mhujumu kama kawaida yenu........hakuna historia ya Mmisri kuhujumu Tz.....ila Kenya........fitna tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…