Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Vodacom wabandua mabango yenye picha za Diamond

Dah! Yaani ukafukunyua makaburi ili mradi tu kuwaambua watu!!! Tafadhali tafadhali, JPM keshasema tusifukue makaburi...

ha ha haaa.! umeona eeeeeh.! tatizo kuna watu wana roho mbaya sana kiasi kwamba kuwaumbua wakati mwingine ni vizuri ili wakome.

Ona sasa, wakati Vodacom ndo wamedhamini ile Wasafi Beach Party pale Jangwani Sea Breez, lile Tamasha la kufunga mwaka kule Iringa.

Hapo hapo tena Vodacom wamempa tour ya mikoa 10 mwakani 2017, sasa ukiona post kama hiyo na haya yanayoendelea kati ya Mondi na Vodacom, unamhurumia huyo jamaa aliyepost huo utumbo.

usikute ana roho mbaya kama avatar yake.
 
we sio muha yule ni mkongo man we huoni anavyonengua,hawa wakija mjini wanajifanya kwao kigoma lakini ukitrace wana unasaba na ndanda kosovo,
Wanaoishi mpakani mwa kenya ni Wakenya.? Punguza umama
 
Kuna uzi humu lara 1 anaelezea jinsi makampuni yalivyopotoka kumtumia Diamond kwa matangazo yake kama humaniser.

Uzi wenyewe ni huu: Pale makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Vodacom

Leo bango la pale Ubungo kona ya kwenda chuo kikuu UDSM wametoa picha ya Diamond na kumuweka dada fulani, pia eneo la Sayansi wametoa picha zake.

Hizo ni sehemu mbili nilizoona kwa leo, nadhani ndani ya wiki huyu jamaa hatakuwa hana bango hata moja.

Sasa sijui ni coincidence au dua la kuku limempata mwewe!
Hivi mnaweza kupunguza Ufala kiasi tunaweza Kuelewana.?
 
Back
Top Bottom