Trinity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2017
- 1,828
- 3,508
Kama kweli kawashtaki ulipwe ma milion ya pesa kama fidia.hamna kitu cha namna hio mkuu kifurushi ni chajero na breakdown ni hio! Voda naitumia sababu napokelea hela toka nje ya nchi ila kwa style hii ntatafuta mbadala tu! Huu ushenzi itafikia wakati tutaenda kuwavunjia computer zao vodashops! ili nao wasikie uchungu maana kama ndio style yao wanakukata na kukubambikia deni sintokubali!