Vodacom wamenifanyia ujambazi kwa mara ya pili

Vodacom wamenifanyia ujambazi kwa mara ya pili

Voda ni matapeli kwasababu hizi zifuatazo

Mwezi novemba nilipokea meseji kutoka vodacom ofa ikiniambia nimepata ofa ya hii hapa chini, angalia muda wa hiyo meseji hapo ni saa 6 na dakika 4

View attachment 2048673

Wakati nikiendelea kutabasamu na kufikiria ni namna gani nimeianza siku kwa zari nikastukizwa na meseji hii ya pili
View attachment 2048677

Angalia hapo hizo meseji zimepishana dakika 20, nikasema leo mbona kama dilwale sherehe ya kihindi mazari hayaniishi

Lakini kumbe ilikua bosheni hizo meseji zilikua ni prank tu

Sasa kwa mwenendo huo wanaepukaje kuitwa matapeli?
Pole sana Bossi na Samahani..
Naomba uscreenshot apo juu pia tuone sender ni nani then tuendelee..

Kama hivi[emoji116][emoji116][emoji116]
Screenshot_20211218-143245.jpg
 
Wanausemi wao wanasema sim yko kama kubwa imekuraaa helaa 😂😂
Voda kujiunga kifurushi cha 3000 wkt mwingine uwe na 3100 itakubali

Ova
 
Wanausemi wao wanasema sim yko kama kubwa imekuraaa helaa [emoji23][emoji23]
Voda kujiunga kifurushi cha 3000 wkt mwingine uwe na 3100 itakubali

Ova
Hilo nmelitolea ufafanuzi Bossi rejea apo juu utapata suluhisho juu ya tatizo lako...

Vodacom - PowerToYou[emoji1241][emoji1241]
 
Pole sana Bossi japo still bado siamini maana haijawah kunitokea..

Cha kukusaidia apo ni bora udownload TrueCaller App then block all scam messages kama izo kuepuka usumbufu
Hiyo sio scam hiyo ni real mesaage kutoka officcial sender kabisa, na kuna matangazo kibao ya ofa ambayo nimekua nikitumiwa kupitia jina hilo
 
Na kama mpo humu vodacom taarifa iwafikie vizuri

Yani naweka vocha ya buku jero kujiunga kifurushi cha buku jero halaf mnaniambia sina salio la kutosha??

Tunasaidiana kupata hela au?
Sasa nilichofanyanikakopa nipige tafu 250/= nikaongezea kununua kifurushi chao cha "kijambazi"

Halaf mtaona kama hio tafu yenu nitawalipa
Kweli uchumi umeyumba, Tsh 250/- tu hutaki kulipa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ila voda bana , kuna siku nilimnunulia bi mkubwa kifurushi cha 1500/- , kupitia Mpesa yangu, wakaniambia kifurushi kimefika , khe kumbe kule bi mkubwa kapokea sms kuwa " Asante kwa kulipa shilingi 1,500/- sehemu ya deni lako la shilingi 2,500/-, deni lako lililobaki ni sh 1,000/-"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kifurushi wamekibadilisha tena kuwa hela wakajilipa deni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Voda sio matapeli Bossi, it does depend na the way unavotumia laini yako. Nakumbuka zamani nlikua na Imani kama yako juu ya huu mtandao but now mambo ni bullbull[emoji91][emoji91]

Kwa utafiti wangu usio rasmi nmegundua wengi wa watu wanaolalamikia hii mitandao ni either wanakopa na hawalipi deni maana voda ndo mtandao unaoongoza kwa kukopesha wateja wake..

Imagine mtu kakopa nipige tafu, kasongesha muamala, kakopa mpawa na hela zenyewe kwake ni za kusikilizia au kudownload unategemea nn.

Tukiweka kando mambo ya technical defects kwenye masuala mazima ya online transactions ambazo pia ni Minor sana ambapo mteja ndo anakuwa na makosa mostly kwa kukosa umakini, Vodacom unabakia kuwa mtandao Bora sana Hapa nchini afu Tigo wanafuata maana mitandao mingine mi siijui[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Mkuu una watetea tu
Nakumbuka kipind flani nilikuwa mbeya nilipigishwa danadana pesa yangu baina ya voda na airtel hadi nikaisamehe tu
Wakati mm sio mtu wa madeni na wala sipendagi kukopa
 
Back
Top Bottom