Vodacom wamenifanyia unyama, kesho naenda makao makuu na mwanasheria wangu.

Hapo umefungua ya kariakoo na ya baltazar bado una lia
 
Vodacom kwa kula MB wanatafuna kama mchwa
 
Wamezd, alaf naona jf nayo inatafuna mb et sku hz natumia chrome au mm tu? Toka waanze matangazo
 
E Nenda Medson usikubali kuibiwa kizembe ,naomba baada ya kuwabananisha vizuri unipe majibu rafiki
 
Network pia ipo slow sana
Akili yangu ndogo inawaza tu....haiwezi kuwa mpango wa starlink sijui ya bwana Elon Musk kufanyia figisu voda wateja tuhame ikija..au wajiunge watengeneze kitu cha pamoja cha kuuzia wateja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…