Vodacom wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

Tatizo wakiiacha hiyo 4,500/- kwenye M-pesa hawana namna ya kuzigusa lakini kwenye salio sio zako tena.
 
Yani voda walinifanyia hivo hivo
yani wanakata chao(mfano wanakudai 500) na ww labda umetoa 30,000 hio 25,000 wanaileta kwenye salio la kawaida

yani huu ni zaidi ya ujambawazi
 
Majizi sana haya watu mnawatetea
 
Kimsboy, Kama wanakufai na hutaki kulipa, Wana haki ya kutumia any safe means kupata haki Yao.
 
Kabla hujakopa nipige tough, soma terms zao.

Ndiyo maana ya ule msitari wa "vigezo na masharti kuzingatiwa".

Term na condition ni kuwa na line yenye muda wa siku 30 iwe uweze ku access nipige tafu izo blah blah zingine hawajaeleza nipo Na mtoa mada kwa hili voda ni majizi
 
Bwana Bashiru Kwahiyo we unataka utudhulumu tu sisi ndo unaona raha ila wewe tukikuwekea ugoko unapiga kelele
 
Hivi na nchi zingine wanafanyiwa haya matusi
 
Term na condition ni kuwa na line yenye muda wa siku 30 iwe uweze ku access nipige tafu izo blah blah zingine hawajaeleza nipo Na mtoa mada kwa hili voda ni majizi

Namna ya kurudisha imeandikwa kwenye terms, soma vigezo vyote, usiishie kwenye ile SMS yao, tembelea website kwa details zaidi.
 
Sasa si ulipe deni mwnyw kwanza kwa mpesa then ndo ununue kifurushi?

Sjui unalalamika nini arifu.
 
wako sahihi sasa kweri tukope arafu tuanze kuchenga chenga kulipa ira ukikopa hama mutandao
 

Pitia blue prints aka T&C
 
"Vigezo na masharti kuzingatiwa, Vodacom kazi ni kwako"
 
Lipa deni mzee, hii tabia ya kihuni mtaacha lini watanzania? Obligation yako huijui endapo unaingia mkataba wa kukopa? Mi naona hao jamaa hawana tatizo ila wewe ndio mwenye shida mahali flani!

Vodacom, hapo poooa!!!
Hujaelewa. Hebu soma kwa kituo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…