Vodacom wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

Vodacom wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

Axheni
Voda wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

Niwape indhari kuna mtindo voda wamekuja nao, kama unadaiwa nipige tafu mfano 500 ukitaka kununua kifurushi kupitia mpesa mfano kifurushi cha 5000 wanachokifanya ukilipia kwa mpesa wanachukua elfu 5 ulolipia kifurushi kwa mpesa hawakupi kifurushi bali wanaielekeza hiyo 5000 kuja kwenye salio la kawaida wanakata 500 yao halafu hiyo 4500 iliyobaki wanaibakisha kwenye salio la kawaida haya wanafanya bila hiari ya mteja huu ni wizi

Kwanini wasikate pesa wanayodai tu badala yake wanaingia kwenye mpesa na kukomba kiasi chote ulichotarajia kununua kwenye mpesa kisha wanaweka kwenye salio la kawaida bila khiari ya mteja? Huu utaratibu wa kibazazi voda mmeutowa wapi?hii ni too much kwa kweli


Tatizo sio kukata pesa yao, tatizo wanakata pesa yao halafu hizo nyengine wanazichukua wanakuwekea kwenye salio la kawaida hili ndo tatizo, dawa ya deni ni kulipa na ndivyo ilivyo wakate pesa yao lakini sio wakishakata wanachukua na pesa yote ilobaki kwenye mpesa na kuiweka katika salio la kawaida...


Tabia mbovu saaana hii wanafanya..!

Wanapaswa kukata deni lao halafu inayobaki waiache MPESA, kitendo cha kuileta kwenye muda wa maongezi sio sahihi

Halaf inakua ni shida pale unapotaka kujiunga na vifurushi ambavyo masharti yake ni kwamba unatakiwa ulipie kwa mpesa tu yaan hivyo vifurushi vinalipiwaga kwa mpesa tuu sasa wanakuwekea hiyo hela kwa salio la kawaida, hapo inakua ishakula kwako maana hautoweza kujiunga tena hicho kifurushi hiyo hela inaishia kudonolewa tu na wao kwenye hilo saah
Lipa Deni mkuu hakuna hiyari kwenye kulipa deni
Voda wanaingilia mpesa ya mteja na kutoa pesa zote kulipia nipige tafu bila hiari ya mtu

Niwape indhari kuna mtindo voda wamekuja nao, kama unadaiwa nipige tafu mfano 500 ukitaka kununua kifurushi kupitia mpesa mfano kifurushi cha 5000 wanachokifanya ukilipia kwa mpesa wanachukua elfu 5 ulolipia kifurushi kwa mpesa hawakupi kifurushi bali wanaielekeza hiyo 5000 kuja kwenye salio la kawaida wanakata 500 yao halafu hiyo 4500 iliyobaki wanaibakisha kwenye salio la kawaida haya wanafanya bila hiari ya mteja huu ni wizi

Kwanini wasikate pesa wanayodai tu badala yake wanaingia kwenye mpesa na kukomba kiasi chote ulichotarajia kununua kwenye mpesa kisha wanaweka kwenye salio la kawaida bila khiari ya mteja? Huu utaratibu wa kibazazi voda mmeutowa wapi?hii ni too much kwa kweli


Tatizo sio kukata pesa yao, tatizo wanakata pesa yao halafu hizo nyengine wanazichukua wanakuwekea kwenye salio la kawaida hili ndo tatizo, dawa ya deni ni kulipa na ndivyo ilivyo wakate pesa yao lakini sio wakishakata wanachukua na pesa yote ilobaki kwenye mpesa na kuiweka katika salio la kawaida...


Tabia mbovu saaana hii wanafanya..!

Wanapaswa kukata deni lao halafu inayobaki waiache MPESA, kitendo cha kuileta kwenye muda wa maongezi sio sahihi

Halaf inakua ni shida pale unapotaka kujiunga na vifurushi ambavyo masharti yake ni kwamba unatakiwa ulipie kwa mpesa tu yaan hivyo vifurushi vinalipiwaga kwa mpesa tuu sasa wanakuwekea hiyo hela kwa salio la kawaida, hapo inakua ishakula kwako maana hautoweza kujiunga tena hicho kifurushi hiyo hela inaishia kudonolewa tu na wao kwenye hilo salio....
 
Hapa hamjamuelewa mtoa mada ,ni kwamba wanakata ela yao wanaokudai alafu iliyo baki wana amisha yote kuwa salio la kawaida au vocha ambayo mdaiwa haitaji yote kuwa wakati uo...
Alipe mapema hata mm huwainatokea
 
Nimesikitika kusikia bado kuna watu wanatumia voda kwenye internet, mi naitumia kupokea pesa tu!
 
Lipa deni mzee, hii tabia ya kihuni mtaacha lini Watanzania? Obligation yako huijui endapo unaingia mkataba wa kukopa? Mi naona hao jamaa hawana tatizo ila wewe ndio mwenye shida mahali flani!

Vodacom, hapo poooa!!!
Yaani tabu tupu,unakopa 500 dume zima ya nini, huna salio jaza pesa basi
 
Songesha hajalazimishiwa mtu, ndo maana ukiitaka inabidi ujiunge.. masharti na vigezo vyao ndo hivyo, kama unaona wanakuingilia kwenye akaunti yako ya mpesa, piga chini songesha.. Acha wengine ambao wanaona ina faida kwao waendelee nayo..
 
Back
Top Bottom