Vodacom wapandisha kifurushi, Nape awatetea na kumnanga aliyelalamika

Vodacom wapandisha kifurushi, Nape awatetea na kumnanga aliyelalamika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Voda washafanya yao, mtu kalalamika na evidence juu na kama kawaida siku hizi Nape Nnauye ni msemaji mzuri sana wa haya makampuni, anayapambania kwelikweli akamnanga mlipa tozo aliyelalamika.

Badala ya MB 1500 kwa tshs 3000 sasa unapata 1300 mb ila sidhani kama hawa mawaziri wanaweka bando zetu hizi sidhani kwa kweli, waziri muhusika anaishi kwenye dunia yake kabisa.


nape.JPG
 
Wangekua wanatoa elimu kwanza kwa mtumiaji then wafanye yao sio ghafla tu
wakiwa na promo zao ndiyo ma sms kibao hadi matangazo redioni hilo ulilolisema siyo la muhimu kwao sababu wanajua nape nnauye atawatetea na kusema ni upotoshaji ilihali kweli wamepunguza kwa mb 200
 
Huyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.

Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
 
Huyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.

Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
aiseeee
 
Huyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.

Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
aisee
 
Voda washafanya yao, mtu kalalamika na evidence juu na kama kawaida siku hizi nape nnauye ni msemaji mzuri sana wa haya makampuni....
Japo maisha ni kuchagua ila access ya net ni muhimu sana TTCL ilikua mda wao sasa wangekua wajanja wakasambaza neti nchi nzima watu tupate net za malipo ya mwezi ila kwa hizi bei kama sina jambo muhimu naenda nunua nyama nusu na piga na double kick yangu basi nalala tu.

Masikini kunapitia wakati mgumu sana sana MUNGU tusaidie
 
Mwenge una uzuri wake, Kuna maeneo mengi viongozi wa eneo wanalazimika kuanzisha miradi mbalimbali kutokana na mwenge.

Kwahiyo, ni ukimbizaji wa shughuli ya uanzishwaji na ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika maeneo mbalimbali Tanzania (mara nyingi huwa tunapata taarifa kuwa miradi kadhaa imekataliwa kufunguliwa kutokana na kuwa chini ya kiwango au kutoendana na thamani ya fedha).
 
Huyo huyo nape, amewai tumia roaming service vibaya akiwa abroad bill ilikuja kama million 70 naa huko katika mwezi, akitumia postpaid service kipindi akiwa katibu mwenezi.

Ali dispute hio bill kuwa alikua hajui, ofisi haikumpa elimu akiwa nje afanyeje, alikua anatia huruma.
Mimi kama mhandisi nakataa hili maana hakuna mteja asiyewekewa credit limit.. na wale high value customer (hvc) wengi wanawekewa 2m kwa mwezi.

Pia enzi hizo nikiwa makampuni ya simu nilikuwa nasimamia hvc na haijawahi kutokea matumizi yeyote including mawaziri na wafanyabiashara wakubwa kuzidi 10m (maana wengi walikuwa na limit hiyo).
 
Mimi kama mhandisi nakataa hili maana hakuna mteja asiyewekewa credit limit.. na wale high value customer (hvc) wengi wanawekewa 2m kwa mwezi...
Tofautisha Pre paid service, hio wanayowekewa credits kila mwezi.

Alikua anatumia postpaid service, hio mtu anatumia tu then anakua charged baadae.

Hio Changamoto ilihusika na timu yetu.
 
Back
Top Bottom