Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,804
- 3,113
Soko la tanzania ni huria, sio kazi ya serikali kuwapangia bei wafanyabiashara mahali ambapo haijaweka ruzuku. Kama wewe unaumia voda kupandisha bei, unapaswa uhame mtandao, ndio maana ya biashara ya ushindani hiyo. Vodacom hay
Kwa upande wa waziri Nape. Ni vyema angekaa kimya. Au aandae kipindi maalum cha kuelimisha umma. Sio kila kitu lazima ajibu. Najua inashawishi kujibu lkn anapaswa ku control temper ya kujibu, mengine aachie TCRA wamjibie, ndio kazi yao.
Kwa upande wa waziri Nape. Ni vyema angekaa kimya. Au aandae kipindi maalum cha kuelimisha umma. Sio kila kitu lazima ajibu. Najua inashawishi kujibu lkn anapaswa ku control temper ya kujibu, mengine aachie TCRA wamjibie, ndio kazi yao.